Ukimya ni tabia.lakini kwa vile wakimya huongea zaidi kwa vitendo ndo utaona mjumuisho wa tabia nyingine zinajitokeza kama dharau., kiburi tena kile cha uzima hasa.! Kedi ., pozi.,na jeuri iliyokomaa .lakini pia wenye tabia hii huwa wana kisirani cha kuua......na huwa wagumu kubadilisha maamuzi.! Ila ukiwajulia mbona utastarehe...! Kiufupi akili zao huwa bize kutafakari zaidi na hawapendi mpinzani.wala kero.!