Fikra kuhusu watu wakimya

Fikra kuhusu watu wakimya

Ukimya ni tabia.lakini kwa vile wakimya huongea zaidi kwa vitendo ndo utaona mjumuisho wa tabia nyingine zinajitokeza kama dharau., kiburi tena kile cha uzima hasa.! Kedi ., pozi.,na jeuri iliyokomaa .lakini pia wenye tabia hii huwa wana kisirani cha kuua......na huwa wagumu kubadilisha maamuzi.! Ila ukiwajulia mbona utastarehe...! Kiufupi akili zao huwa bize kutafakari zaidi na hawapendi mpinzani.wala kero.!
 
Ukimya ni tabia.lakini kwa vile wakimya huongea zaidi kwa vitendo ndo utaona mjumuisho wa tabia nyingine zinajitokeza kama dharau., kiburi tena kile cha uzima hasa.! Kedi ., pozi.,na jeuri iliyokomaa .lakini pia wenye tabia hii huwa wana kisirani cha kuua......na huwa wagumu kubadilisha maamuzi.! Ila ukiwajulia mbona utastarehe...! Kiufupi akili zao huwa bize kutafakari zaidi na hawapendi mpinzani.wala kero.!

Nashukuru kwa mawazo yako,lakini kwa mawazo yako unamaanisha hakuna mkimya aliye mpole!
 
Kwa kiasi nakubali ukimya unadharau kiasi kumbuka mkimya ni msikilizaji mzuri na huchambua kwa kina wanachoongea wengine hivyo wale wanaongea pumba(hovyo) humshusha thaman na ni vigumu kuchangamana nae
 
wanaongea sana hao hawana dharau? Ninachokiona hapa ni kwamba watu wakimya ni ngumu sana kuwaelewa hasa misimamo yao, yaani huwa hawatabiriki na watu wengi huwa wanawaogopa kwa vile wakimya hawapendi interactions za kipuuzi na hapo ndipo wanapodhaniwa kuwa wana dharau. anyway huenda wapo wenye dharau na wasio na dharau pia. ila ukimya pekee sio kigezo cha kuwa na dharau
 
Mimi sio mkimya na wala si muongeaji sana.
Halafu kuna watu wanachanganya kati ya ukimya na upole.....jua tofauti

Yaani sawa nakutofautisha maji ya chumvi na yakawaida yote maji kijana.

Hatimii mtu mkimya bila kuwa mpole na hatimii mtu kuwa mpole bila kuwa mkimya
 
Mmmmmh kwani kuongea lazima? upoyoyo sio mzuri jamani ustaarabu ni kuwa mkimya utaepusha mengi.
 
Yaani sawa nakutofautisha maji ya chumvi na yakawaida yote maji kijana.

Hatimii mtu mkimya bila kuwa mpole na hatimii mtu kuwa mpole bila kuwa mkimya

Kwani mpole ni mtu wa namna gani kwa huelewa wako…?
 
Khaa!! Mie ujinga huo sina. Ukinizingua ni makavu live on the spot. BTW nasikiaga males wakimya kuku wao hupanda mtungi kwa shida sana. Nimesikia tu
 
Kuwa mkimya nikuongea zaidi kimoyo na uwa tunaogopa kuongea tukakosea kwa iyo ukimya ndio ngao yetu na uwa kweli hatusahau kitu ovyo na kweli wengi usema tunadharau kumbe nikuogopa kukosea ktk maneno
 
Ukimya unatofautiana na sababu za mhusika mwenyewe. Ukimya haumaanishi kitu kimoja tu bali unaweza kumaanisha kwamba mtu huyo ni makini, aibu, unyonge moyoni(inferiority complex),dharau, mawazo, tafakuri nk.
Nimejaribu kuwachunguza watu wengi wanaoonekana ni wa kimya nikagundua kuwa wengi wao wana aibu na unyonge moyoni(inferioty complex) na sio umakini wala dharau.
Watu wakimya hawajulikani kwa maneno tu bali hata vitendo, unakuta ni mzungumzaji mzuri lakini kuna mambo anayaficha, mfano anaweza akawa anafanya kazi fulani nzuri tu yenye maslahi mazuri lakini hasemi hata kwa rafiki zake, mipango yake inakuwa kimya na mara nyingi hapendi kuwahusisha wengine mambo yake binafsi ila kwenye mambo mengine ni mzungumzaji mzuri sana.
Hao wanaoonekana wakimya wengi wana dharau hasa wanapokuwa na watu walio chini yao ki-hadhi.
Na wengine ni aibu na unyonge tu wanaogopa kuoneka hawana mawazo bora au point kwenyw jambo linalozungumzwa.
 
Khaa!! Mie ujinga huo sina. Ukinizingua ni makavu live on the spot. BTW nasikiaga males wakimya kuku wao hupanda mtungi kwa shida sana. Nimesikia tu

kwani ushatembea nao wangap? Ukimya unamahusiano gan hapo, mawazo ya ngono yamekujaa
 
They know much.......ukiona mtu anakwazika na mtu mkimya ujue huyo ni debe tupu kawaida yake kuongea saaana aaf mashudu
 
Mm nimepata majaribu sana ktk maisha yangu kwa tabia yangu ya ukimya, unaishi na watu kila m1 anakunyooshea kidole kuwa una dharau, kumbe hata kidogo???

Ilifikia hatua nikajifunza kunywa pombe nilewe ili walau nipate maneno ya kuropoka niwafurahishe walio karibu yangu!

Sio kila mtu mkimya anakuwa na dharau, big #NOO !
 
Hizi ndio sifa za watu wakimya:
1. Sio wacheshi
2. Wana kiburi
3. Sio rahisi kukubali kosa alilo fanya
4. Ni watu waku jitenga
5. Hawapendi uguse vitu vyao
6. Ni wazuri kwa u spy / upepelezi
7. Ni watu waku jiweka local sana hata kama fedha ipo
8. Hawana muda sana wanawake.
9.
 
Mm nimepata majaribu sana ktk maisha yangu kwa tabia yangu ya ukimya, unaishi na watu kila m1 anakunyooshea kidole kuwa una dharau, kumbe hata kidogo???

Ilifikia hatua nikajifunza kunywa pombe nilewe ili walau nipate maneno ya kuropoka niwafurahishe walio karibu yangu!

Sio kila mtu mkimya anakuwa na dharau, big #NOO !

sasa pombe imekusaidia kidogo kufanana nao?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom