franz
Member
- Jun 19, 2012
- 26
- 26
Kujiwekea mipaka katika kuchangia aina tofauti ya mazungumzo na mahusiano baina ya mtu na watu wengine ndo tofauti iliyopo kati ya mtu mkimya na mropokaji.kujiwekea mipaka inasaidia sana kupunguza ugomvi usio wa lazima na inamjengea mtu kujiheshimu na kuheshimika na watu wengine pia.