FineForever
JF-Expert Member
- Apr 12, 2017
- 1,777
- 2,361
Cha
watakiona...
watakiona...
watakiona...Naona Ronaldo analilia Penalties tu huku.Madrid leo wamejitahidi sana ni draw
Mark my word
Kabisa MkuuMadrid leo wamejitahidi sana ni draw
Mark my word
Yerri Minna ameshaanza vitimbwi vyake
Leo katambulishwa kavua viatu na akaanza kupiga dance ya colombia huku anakata mauno watu weeeee
Niliwaambia another Dani Alves ameletwa ,ila jamaa ni tall sana na ni mgumu mno amekomaa kama chuma i mean

wamepigwa!!!! Dk ya 87. Oyooooooooo!!!!Madrid leo wamejitahidi sana ni draw
Mark my word
Nimeona mwiba wameukalia dk ya 87 chop ya central midfielderwamepigwa!!!! Dk ya 87. Oyooooooooo!!!!
Kule kwa kwao wameshaenda kulala papo kimya.Nimeona mwiba wameukalia dk ya 87 chop ya central midfielder
Ronaldo ana goli 4 kati ya hizo magoli ma 3 penaltiesFT: Madrid 0-1 Virareal
Wajipange tu kwa msimu ujao, msimu huu wasipoangalia hawapati kikombe hata kimoja na pia kushindwa kucheza UCL msimu ujao...Ronaldo ana goli 4 kati ya hizo magoli ma 3 penalties
Tuko round 19 ya league lets goo
Me nataka record ya goli 7Hao RealMadrid, El Classico wanachezea 5...
Stergen
Y. Mina
Pique
Umtiti
Nelson Semedo
J. Alba
S. Buskets
Iniesta
Coutinho
Dembele
Suarez
Messsi
Ha ha ha hawa ni wetu tu. Hawachomoki....Me nataka record ya goli 7