FineForever
JF-Expert Member
- Apr 12, 2017
- 1,777
- 2,361
Siku Akistafu huyu Mnyama, Viwanja vyote vya mpira duniani vitakuwa kama vimeungua na kuteketea kwa moto. Yaani mpira wa miguu hautakuwa na maana tena nafikiri...Lionel messiah hahaha huyu jamaa huwa nikikosa kazi nazama zanyu YouTube naangalia mambo yake ananikosha sana...
Akistaafu soko nitakuwa heart broken sanaa
King Lionel Messi10....