Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,128
- 11,937
Kumbe ni shehe....
Denis ni majeruhi au?
Balakashee hiyo mkuu...Si ni cap tu yakawaida sio balakashee mkuu
Ni cap aisee tena kama sio Jordan hiyo sijuiBalakashee hiyo mkuu...
Aaaaah kweli bhana ni kofia.....Ni cap aisee tena kama sio Jordan hiyo sijui
![]()
Aaaaah kweli bhana ni kofia.....
Ningeshangaa mcolombia gani muislamu!!!!;
Hao watu wa west na north Africa almost ndo dini yao.....Angekua mghana ama mnigeria angalau
Barca saivi ni roho mbaya tu, yani real ntawaua awamu hii lazima muite maji mma shuwain![]()
Tayari, presentation ndo kesho barca ni![]()
![]()
Barca saivi ni roho mbaya tu, yani real ntawaua awamu hii lazima muite maji mma shuwain
![]()
king leo messi
Pique ni back anayejua kuji position-aangaiki sana he can read an opponent movement well before-only umtiti comes close to this foresight-hawa ma back wengine ni too much huff and puff,wanatumia energy nyingi sana then neccesaryHuyu pique n bek mbovu sana...tunaposhambuliwa ndo unaweza elewa udhaifu wake...n mbovu sana kwenye marking but n bora sana kwenye kuanzisha mashambuliz I mean kupga pass..mech iliyopta dhid ya Madrid aliotuokoa alikua n vermalain...tackling zote zilikua na hakr...
Station au King'amuzi gani cha bongo kinaonesha ?Wakuu leo saa tano na nusu tunakipiga Celta vigo camp nou. Bonge la mechi.
Nasikia copa Del Rey huwa hazionyweshi. Ni kustream tu.Station au King'amuzi gani cha bongo kinaonesha ?