FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Daah haina noma lakini,
Tutapambana tu.

Niulize tu. Sasa mbona kwenye games kama fifa ikitokea umesajili mchezaji katikati ya msimu uwa anaendelea kucheza na magoli yake kama amefunga yanaendelea kuhesabika hii sheria ni mpya au ndo games are just the games
gemu gemu2.......kuna vitu vingi tu kwenye gemu ambavyo in reality havipo...mfano muda wa adhabu ya kadi..
 
Gomez simpendi anafata huyu Defue
Yeah hawa jamaa wanatakiwa wakaruke ruke timu zingine huko, tumewachoka. Gomes mzee wa kupaisha hata kama yuko umbali wa mita 10 tu kutoka golini. Delouf yeye ni mzee wa kukimbia kimbia tu nabingwa wa kupoteza mipira na kuwapa maadui
 
1515262980971.jpg
1515262968968.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom