Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,128
- 11,937
Asante kwa kunitoa tongotongoYah, ni sheria ya UEFA, kama mchezaji katoka club inayoshiriki UCL na akahamia club nyingine ambayo nayo inashiriki UCL hatoruhusiwa kucheza
... Nilishangaa debate ya kuamua tumchukue sasaivi au tungojee tu hadi msim ukiisha sikuelewa
gemu gemu2.......kuna vitu vingi tu kwenye gemu ambavyo in reality havipo...mfano muda wa adhabu ya kadi..