mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 21,859
- 19,700
Ha ha brotherman Neymar
Ha ha brotherman Neymar
Yaani huyu ni wakupigwa bei tu. Hana tofauti na DelofouView attachment 658009
Hivi wakuu huyu jamaa mwamwelewa??!!!!
Kwa nn Jana asingeingia Dennis wanaingiza huyu mfuga ndevu
Amekosa nafasi ya wazi kbs Jana anapaisha.
Hayupo kwenye ubora wake kabisa
Ndo nature yake huyo.Huyu Ramos kwanini afuati nyayo za Pique?? cool,calm and composed.Ramos ilikuwa huruma ya refa-kile kibao alichompiga Suarez ilikuwa straight red
Januari auzwe au hata mkopo unamuhusuYaani huyu ni wakupigwa bei tu. Hana tofauti na Delofou
Kabisa MkuuJanuari auzwe au hata mkopo unamuhusu
Huyo jamaa mwenye chupi analeta ukakasi.View attachment 658688
Blancos hao ha ha ha lord penaldo
Habari Njema Sana. Tutakuwa Bora Muno Round 2 Msimu Huu...View attachment 658690
Good news Dembele atacheza next match na levante itakayopigwa tarehe 06-01-2018 so better ataanza ku adapt barca style kabla ya UEFA na chelsea February
Ni harari yake Mkuu. Maana ni Mviziaji tu...Tukielekea kufunga mwaka Ronaldo ana magoli ma 4 tu pekee katika Laliga kati ya hayo magoli
3 ni penalty
Alijuwa yuko Morocco kwa Jamaa yakeHuyo jamaa mwenye chupi analeta ukakasi.
Hilo halina ubishi Mkuu...Namkubali sana dembele hasa kwenye attacking.
Tutegemee barc bora zaidi 2018
Namsunir kwa ham sana "dembele" 2018Namkubali sana dembele hasa kwenye attacking.
Tutegemee barc bora zaidi 2018
Yeah Kaka Yule Dogo Anajuwa sana Mpira. Kule Kwao Ufaransa huwa wanamwita "mosquito"....kule you-tube kuna highlights zake ni hatari muno ukiziangalia...Namsunir kwa ham sana "dembele" 2018
Pole sana, I hope you will be back very soon. Allah afungue milango yako ya riziki halaliHabari zenu Wakuu! Hongereni kwa ushindi murua kabisa, nilipenda saaana kushinda humu ndani na kwenda kuchafua jukwaa la Madrid ila kwa sasa simu yangu kimeharibika, nadunduiza ili nipate pesa nikanunue. Kila la heri wakuu, salamu ziwafikie chelsea, na msimu ujao tutakua moto saaana maana nnaamini Coutinho atatua Camp Nou. Heri ya Christmass na Mwaka mpya.