mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 22,477
- 21,023
Amewaramba vyenga vingi sana Madrid leoSergi Robertho wanamuua kiwango kwa kumchezesha namba ambazo sio zake
Amewaramba vyenga vingi sana Madrid leoSergi Robertho wanamuua kiwango kwa kumchezesha namba ambazo sio zake
Bora acheze hizo namba kuliko kuuzwa,baada ya Iniesta kutoka alirudi kucheza katikatiSergi Robertho wanamuua kiwango kwa kumchezesha namba ambazo sio zake
View attachment 657694
View attachment 657695
Hivi mnajua King alipotoa assist ya goli la tatu alikua peku??unajua alimkanyaga nani?yule yule Marcelo ambaye always anadhalilikaga
Aisee sikujua mkuu, kweli huyu ni MfalmeView attachment 657694
View attachment 657695
Hivi mnajua King alipotoa assist ya goli la tatu alikua peku??unajua alimkanyaga nani?yule yule Marcelo ambaye always anadhalilikaga
View attachment 657694
View attachment 657695
Hivi mnajua King alipotoa assist ya goli la tatu alikua peku??unajua alimkanyaga nani?yule yule Marcelo ambaye always anadhalilikaga
Madrid wana mfumo wa wanachama ka yangaMadrid hawanatofauti na simba

Arthur, Coutihno na Yeri Mina wote wako kwenye Rada, tukiwapata hawa Barca yetu itakuwa yaKuna dogo mmoja anaitwa Arthur, ana dribbling ya hatari tukimpata huyuu![]()
wa kuotea mbali. Kifupi usiombe kukutana nayo...Aisee sikujua mkuu, kweli huyu ni Mfalme
View attachment 657679
Jibwa letu linapigwa Nutmeg hadi anaenda kumsimulia mchumba wake penaldo
angalia vizuri kiatu cha messi kimevulika (right leg)
View attachment 657679
Jibwa letu linapigwa Nutmeg hadi anaenda kumsimulia mchumba wake penaldo
angalia vizuri kiatu cha messi kimevulika (right leg)
Tatizo na sisi huwa wazito sana, tusije kuwahiwa tuu yaniArthur, Coutihno na Yeri Mina wote wako kwenye Rada, tukiwapata hawa Barca yetu itakuwa ya![]()
![]()
wa kuotea mbali. Kifupi usiombe kukutana nayo...
Kwa uwezo alionao, ukitaka uelezee maajabu na uwezo alionao, hakika hata nyasi na maji yote juu ya uso wa dunia hii yageuke kuwa kalamu na wino kamwe huwezi maliza kuelezeaHuyu ndiye mfalme original,,,, kila mechi anaperfom vizuri tena zaidi na zaidi kuliko mchezaji yeyote kuwahi kutokea katika ulimwengu wa soka.....kuna maradona na pele,,, ila huyu kiumbe ni zaidi ya mfalme.....unatamani kila dakika awe na mpira mguuni,,, kwa wachache mno wasiompenda wanatamani mpira usimpate 😀😀 hahahahaaa ni kitu ambacho hakiwezekani na wala hakitatokea kwa mfalme huyu.
Kweli Mkuu, kabla ya El Classico ya Leo, 23/12/2017 Uongozi wa juu Umefanya mkutano wa kujadili usajiri muhimu dirisha dogo, January 2018. Arthur, Coutihno na Mina ikiwa ndiyo kipa umbele namba 1.Tatizo na sisi huwa wazito sana, tusije kuwahiwa tuu yani
Kwa uwezo alionao, ukitaka uelezee maajabu na uwezo alionao, hakika hata nyasi na maji yote juu ya uso wa dunia hii yageuke kuwa kalamu na wino kamwe huwezi maliza kuelezea![]()
Ataiga tena, fake ronaldo. kama anaiga ufungaji wa magoli. Hii atashindwaje kwa mfano....tena Leo kapiga nyingi za Kifalme kama wafalme wazamani...Yule boya flani na hii ataiga, kama ya kuvua jezi aliiga hii muda utaongea
Ataiga tena, fake ronaldo. kama anaiga ufungaji wa magoli. Hii atashindwaje kwa mfano....tena Leo kapiga nyingi za Kifalme kama wafalme wazamani...![]()
Messi10 si wa dunia hii. He is an Alien (Angle). Wengi hawawezi kuliona hilo kwa sasa, kama jinsi ambavyo watu wengi hawakuamini kama Yesu ni Massihah. Wengi wataamini hilo siku akistaafu soka.Hahaha
Jamaa anaiga hadi pasi za dinyo...
all hail king messi