FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Mimi najiuliza Atletico walikosewa nini na Barcelona hadi wanawakunjia hivyo??
#FreeAlvalez
View attachment 3654505
Mimi mwenyewe nimeshangaa sana.

Jamaa mbona hatuna noma nao.

Alvarez hata akibaki hawezi kujitoa kwa 100%.

Mashabiki wamemzomea sana game yao na Malaga ingawa hakuwepo uwanjani.

El Cholo anaulizwa kuhusu mashabiki kumzomea Alvarez anakwambia anawaheshimu sana mashabiki wao.
 
Mimi mwenyewe nimeshangaa sana.

Jamaa mbona hatuna noma nao.

Alvarez hata akibaki hawezi kujitoa kwa 100%.

Mashabiki wamemzomea sana game yao na Malaga ingawa hakuwepo uwanjani.

El Cholo anaulizwa kuhusu mashabiki kumzomea Alvarez anakwambia anawaheshimu sana mashabiki wao.
Hao inabidi tukikutana nao tuwapige fimbo za kutosha. Tuwashone haswaaa
3604.jpg
 
Atletico wapo tayari kumuuza Alvarez kwa Arsenal lakini hawapo tayari kutuuzia sisi.

Alvarez kawagomea Atletico deal la kuuzwa Arsenal anaitaka Barca tu.

Aleyn

Da'Vinci
Yamkini hado ni ishu ya kimaslahi tu, pale hawanaga desturi ya kusajili kwa bei kubwa, Barthomeu alituharibia ile desturi. Sasa hapo labda wanatikisa kibiriti ili tupande dau au yamkini wameshaona kwa Barca ya sasa haina uhitaji mkubwa wa Alvarez so ni kama ataenda kupambania namba pale Barca.

Kwa ule moto wa jana, nashawishika ni kweli Alvarez hadi aje akae kwenye mfumo wa Barca inaweza ikachukua muda kidogo.
 
Sema wanangu wa katalunya timu tunayo.

Wapinzani wetu wajipange sana.
Advantage yetu frontline yote wana intensity ya hali ya juu kuanzia Olmo, Fermin,Raphina,Yamal,Gordon na Adeyemi (Hamza?)
huku viungo 8 na 6 wapo vizuri balaa. Shida ipo nyuma sasa backline sio wachezaji wa baya ila mfumo wa kocha unawaExpose. Ila ngoja tuone this season
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom