Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 52,805
- 131,350
Tapeli wakati katia kamba 2 juzi na ndio aliyefunga goli la ushindi kwenye WCTapeli tutamkaanga vizuri tu.
Tapeli wakati katia kamba 2 juzi na ndio aliyefunga goli la ushindi kwenye WCTapeli tutamkaanga vizuri tu.
Tapeli tu huyo.Tapeli wakati katia kamba 2 juzi na ndio aliyefunga goli la ushindi kwenye WC
Hata Dembele aliondoka Barcelona na sababu mlizokuwa mkitoa mashabiki zilikuwa ni hizi hizi.Tapeli tu huyo.
Kufunga sio kigezo kama ni mchezaji mzuri sana.
Mchezaji nafasi kumi za wazi anapata goli 1 au 2 za kudanganyia uingingie kingi.
Unafikiri angekuwa mtu wa kazi tungekubali aondoke kwa urahisi?
Weka na ile Pau Cubarsi anapigwa buti la uso hafu tuchambue
Weka wewe hiyo clip maana hilo tukio mimi sikulionaWeka na ile Pau Cubarsi anapigwa buti la uso hafu tuchambue
Wee mshenzi ni mnafiki sana🤣Weka wewe hiyo clip maana hilo tukio mimi sikulionaView attachment 3658624View attachment 3658625