FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Sema wanangu wa katalunya timu tunayo.

Wapinzani wetu wajipange sana.
Advantage yetu frontline yote wana intensity ya hali ya juu kuanzia Olmo, Fermin,Raphina,Yamal,Gordon na Adeyemi (Hamza?)
huku viungo 8 na 6 wapo vizuri balaa. Shida ipo nyuma sasa backline sio wachezaji wa baya ila mfumo wa kocha unawaExpose. Ila ngoja tuone this season
 
Bro since apate majeraha ya dyudyu bado haakaa sawa ni kama mabeki wote duniani washamjulia hapiti kabisa ni mwendo wa backpass,cross hazieleweki jana kacheza kama katoka kwa mshangazi yupo off mood kabisa. Asipo Level up his game lazima benchi imuhusu
Jana kazingua sana.

Anarukaruka tu.

Sema uzuri sasa hivi tuna Adeyemi na Gordon hata asipokuwa fiti hizo winga mbili zinakiwasha.

Dogo anaendekeza sana mishangazi inampoteza.
 
Advantage yetu frontline yote wana intensity ya hali ya juu kuanzia Olmo, Fermin,Raphina,Yamal,Gordon na Adeyemi (Hamza?)
huku viungo 8 na 6 wapo vizuri balaa. Shida ipo nyuma sasa backline sio wachezaji wa baya ila mfumo wa kocha unawaExpose. Ila ngoja tuone this season
Kwa aina ya beki zetu huo mfumo ndio unawafaa amini ninachokuambia.

High line ndio mfumo uliotuokoa mpaka hapo tulipofika ingawa mapungufu yapo.

Kwa aina ya mabeki wetu huwezi kulazimisha wakimbizane na forward za timu pinzani mwanzo mwisho lazima wapotezwe tu.

Fikiria mtu kama Mbappe akimbizane na mtu kama Cubarsi unafikiri atamuweza Mbappe?

Unaikumbuka mechi Mbappe anatia chuma 4 zinakataliwa kama offside mechi inaisha peke yake ana offsides 9?

Fikiria tungekua hatutumii high line tungekufa goli ngapi?

Dawa ndio hiyo tu offside trap na imetubeba kwa aina ya beki zetu kina kounde na Gerald Martin.

Mimi roho imeniuma sana kuondoka Inigo mana jamaa na Cubarsi walikuwa perfect sana kui excute offside trap.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom