Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,422
- 109,989
Advantage yetu frontline yote wana intensity ya hali ya juu kuanzia Olmo, Fermin,Raphina,Yamal,Gordon na Adeyemi (Hamza?)Sema wanangu wa katalunya timu tunayo.
Wapinzani wetu wajipange sana.
huku viungo 8 na 6 wapo vizuri balaa. Shida ipo nyuma sasa backline sio wachezaji wa baya ila mfumo wa kocha unawaExpose. Ila ngoja tuone this season