FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Barce
Ukuta normally ni Cubarsi, Inigo, Kounde na Balde... Fullbacks za first eleven zote injury...

Tukiingia sokon kama mfuko na sheria zitaruhusu tukusanye nguvu hapo kwanza then mtatuona tena
Barcelona siku zote wanadharau ukuta, sajili nyingi ni viungo na washambuliaji tu.
 
Hii timu bana imeniangusha sana, ila ukiwaona kwenye mechi yao ya kudai uhuru kule, unaweza kudhani wapo serious! ngoja ifike tarehe 11 uone yaani wanacheza mpira mzuri! ukichungulia kabati lao sasa haaa..! kumbe wana Uefa CL 5 tu.
 
Inter anajua kama real hayupo bas ubingwa niwake maana anaona waliobak wote nivilaza
 
Ukuwa na wasiwasi wapi wewe acha uongo.

Baada ya Raphina ku score goli la tatu wewe ulikimbia kabisa banda umiza.
Hakuna kitu kiliniuma kama Barcelona kusawazisha goli zote mbili. Ikaja kupigwa goli la tatu nikaangalia dakika nikasema mechi imeshaisha hapa Inter kaishaaga mashindano ngoja tu nikomae kuangalia burudani kwa dakika zilizobakia. Aisee nakuja kushuhudia Inter wakiurejesha mchezo tena kwa kusawazisha dakika za nyongeza.

Ni mechi ambayo kila upande umeonesha kuwa usimkatie tamaa mpira ni dakika 90, Barcelona kafanya comeback za kibabe katika first leg na second leg ila inter Milan kaonesha ni msumbufu sana kila muda yupo kwaajili ya kukuadhibu.
 
Yes ile game kila mtu hata wachezaji wa Inter wenyewe walijua ngoma ishakwisha.

Ila ndo hivyo mpira ni mchezo wa makosa kwenye football hata dakika moja inaweza kubadilisha matokeo.

Hili limepita.

Let accept the defeat and focus on the fixtures at hand.

Next ni el clasico jumapili kupambania la liga.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…