FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Kabisa yani.

Kwasababu vitu anavyovifanya hata ukiangalia ligi za Bethelem kule home town kwa Yesu watu wanavifanya.

Ila ishu ni kwamba tu vimekosa coverage na promo
KUna ule msemo form is temporary, class is permanent Waka muulize haaland au Eden hazard ata waelewesha hilo.

Ni sawa na Madrid ya BBC na hii ya kina mbape inayo pewa hype kubwa, wana kosa Team na class mentality.

kupiga Chenga au faulo 2/3 haku amui mechi, ila kusimama Kama team ndio nguzo pekee.
 
KUna ule msemo form is temporary, class is permanent Waka muulize haaland au Eden hazard ata waelewesha hilo.

Ni sawa na Madrid ya BBC na hii ya kina mbape inayo pewa hype kubwa, wana kosa Team na class mentality.

kupiga Chenga au faulo 2/3 haku amui mechi, ila kusimama Kama team ndio nguzo pekee.
Ni kweli kwasababu hata hivyo vitu vinapata room ya kujadiliwa kimapana pale iwapo mechi imeisha kwa kupata matokeo mazuri.

Sasa mfano hapa second half wapigwe chuma 2 zingine mechi iishe 4-0 hivi kuna mtu atakuwa na muda wa kuanza kusifia chenga za Lamine?
 
Hizi game inaenda kuisha 2-3 Barcelona
HIyo ni ngumu sana
20250505_141206.jpg
 
Ni kweli kwasababu hata hivyo vitu vinapata room ya kujadiliwa kimapana pale iwapo mechi imeisha kwa kupata matokeo mazuri.

Sasa mfano hapa second half wapigwe chuma 2 zingine mechi iishe 4-0 hivi kuna mtu atakuwa na muda wa kuanza kusifia chenga za Lamine?
Nawaza Kama kunge kuwa na Ile Sheria ya goli la ugenini 🤣😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom