FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Inter ana mchezo mgumu sana asee.
mImi naona Barcelona vijana wake hawana nguvu. Ile physic. We angalia Dimarco anavyomchezea Yamal kwa kutumia nguvu. Hata Cubasi na Martinez hiyo ni sawa na light weight vs heavy weight. Pia kule pembeni kwa Martin. Anapambana na Demfries. Ni shida.
Flinks afanye hivi. Amtie Cubasi amoandishe Arouja. Olmo aende bench apande Femini. Pia Martinez atoke aingie Gavi.
Inter Hii game watashindakwa kutumia nguvu zaidi kuliko uwezo.
 
Mkuu Scars unaionaje hii gemu Kuna uwezekano Barca kurudisha goli mbil
Inter wanafikiwa sana kwenye eneo lao na hiyo inasababisha muda mwingi mpira uchezwe kwenye zone yao.

Hiyo ndio inanipa wasiwasi sana kwasababu kwenye zone yako unaweza kujikuta umecheza faulo ambayo adhabu yake ni penati.

Lakini naamini pia kuwa hiyo ndio ilikuwa plan yao kuwaruhusu Barca wacheze eneo lao ili wao wacheze Counter attack.
 
mImi naona Barcelona vijana wake hawana nguvu. Ile physic. We angalia Dimarco anavyomchezea Yamal kwa kutumia nguvu. Hata Cubasi na Martinez hiyo ni sawa na light weight vs heavy weight. Pia kule pembeni kwa Martin. Anapambana na Demfries. Ni shida.
Flinks afanye hivi. Amtie Cubasi amoandishe Arouja. Olmo aende bench apande Femini. Pia Martinez atoke aingie Gavi.
Inter Hii game watashindakwa kutumia nguvu zaidi kuliko uwezo.
Fatigue mkuu watu wapo hoi mechi mashindano mengi kikosi kidogo
 
Barca wanacheza high line toka msimu unaanza .. Kilichotokea ni kwamba timu nyingi zilikuwa zinanasa kwenye mtego wa kuotea na barca wanafunga sana magoli..
Nusu ya pili ya msimu wamestukuwa.. Mechi nyingi wamekuwa wakiruhusu sana magoli !
 
Inter wanafikiwa sana kwenye eneo lao na hiyo inasababisha muda mwingi mpira uchezwe kwenye zone yao.

Hiyo ndio inanipa wasiwasi sana kwasababu kwenye zone yako unaweza kujikuta umecheza faulo ambayo adhabu yake ni penati.

Lakini naamini pia kuwa hiyo ndio ilikuwa plan yao kuwaruhusu Barca wacheze eneo lao ili wao wacheze Counter attack.
Inter wali jua Barca ana kuja kutafuta goli la mapema, so mbinu pekee ni kumuachia acheze mpira.

Kisha uki u snatch una tanua winger na kuzi rudisha ndani, lazima Barca pumzi ziwatoke.
 
Barca wanacheza high line toka msimu unaanza .. Kilichotokea ni kwamba timu nyingi zilikuwa zinanasa kwenye mtegi wa kuotea na barca wanafunga sana magoli..
Nusu ya pili ya msimu wamestukuwa.. Mechi nyingi wamekuwa wakiruhusu sana magoli !
Kila mtu alikuwa anafanya kazi ya kustudy high line akifika kucheza na Barca ukishindwa kuchomoa hiyo umefungwa
 
Yamal ni overrated Kama ansu fati tu, wange muacha acheze boli badala ya kumuimbia taarab.

at his age yuko gud, shida expectations ziko high kinyama.
Kabisa yani.

Kwasababu vitu anavyovifanya hata ukiangalia ligi za Bethelem kule home town kwa Yesu watu wanavifanya.

Ila ishu ni kwamba tu vimekosa coverage na promo
 
Izanghi yupo fire,ila machine dk 90
Kweli besti. Pia uzoefu experience. Pia uwanja wa nyumbani na kelele za San sirro. Pia inter inatumia nguvu wako physical hasa Huy de Marco anavyomkaba Yamal aggressive lakini Yamal tumeona amempita mara mbili Kwa akili.

Jinsi ulivyosema DK 90 ama extra time ama penalty.

Naziombea Barca japo siyo shabiki NI kwaajili ya Yamal.

hydroxo

Nyau de adriz
 
Sawaa sawaa😃😃
Au ulimbetia Barca?
images (2)~2.jpeg
 
mImi naona Barcelona vijana wake hawana nguvu. Ile physic. We angalia Dimarco anavyomchezea Yamal kwa kutumia nguvu. Hata Cubasi na Martinez hiyo ni sawa na light weight vs heavy weight. Pia kule pembeni kwa Martin. Anapambana na Demfries. Ni shida.
Flinks afanye hivi. Amtie Cubasi amoandishe Arouja. Olmo aende bench apande Femini. Pia Martinez atoke aingie Gavi.
Inter Hii game watashindakwa kutumia nguvu zaidi kuliko uwezo.
Sahii kabisa, physique Barca wameshindwa ,ndo maana malalamiko kwa refa ni mengi mno. Refa hataki ujinga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom