Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 50,169
- 123,310
Nyie endeleeni kuuguza mgonjwa ambaye hadi maji anaomba alainishiweInter ana mchezo mgumu sana asee.
Nyie endeleeni kuuguza mgonjwa ambaye hadi maji anaomba alainishiweInter ana mchezo mgumu sana asee.
Jamaa 3-5-2 wameimaster...Inter ana mchezo mgumu sana asee.
Dogo ni talent hilo kubali tu mkuuNaona wanampaisha sana hadi hawa commentator nao nimewaona wana hiyo kitu.
Kuna mmoja katoa nukuu sijui ya nani kuwa eti baada ya ile game ya kwanza jinsi dogo alivyo perfom anaona kama sasa ameshaona kila kitu na sasa yuko tayari kufa kwa amani
Ngoja tuoneinter anakufa 2nd half
Izanghi yupo fire,ila machine dk 90Jamaa 3-5-2 wameimaster...
Hapiti Arsenal kakaarsenal vs inter fainali
Hii game itaenda 120Dogo ni talent hilo kubali tu mkuu
Ni psg na interHapiti Arsenal kaka
Refa naeNgoja tuone
Kwa jinsi ninavyoona kesho ndio kitakuwa kioja cha arsenalHapiti Arsenal kaka
HI team kwa sasa ni complete package wakipita hapa wakachakue tu ndoo maana itakuwa ni wastage kama hicho kikosi chao hakitotoka na UEFAIzanghi yupo fire,ila machine dk 90
Wapo kwetu Hawa hawachomoki leoMmezodolewa huko milan
Kesho hatoboi hata iwajeRefa nae
Kwa jinsi ninavyoona kesho ndio kitakuwa kioja cha arsenal
Talented Sana and still has a long brighter future.Dogo ni talent hilo kubali tu mkuu
Kuna dogo mmoja humu jukwaani alisemaga kuwa inter sio timu hatari sana 😀😀HI team kwa sasa ni complete package wakipita hapa wakachakue tu ndoo maana itakuwa ni wastage kama hicho kikosi chao hakitotoka na UEFA
Yamal ni overrated Kama ansu fati tu, wange muacha acheze boli badala ya kumuimbia taarab.Naona wanampaisha sana hadi hawa commentator nao nimewaona wana hiyo kitu.
Kuna mmoja katoa nukuu sijui ya nani kuwa eti baada ya ile game ya kwanza jinsi dogo alivyo perfom anaona kama sasa ameshaona kila kitu na sasa yuko tayari kufa kwa amani
Inaweza ikawa ngoja tumngojee inter hapa kwanza maana mpira bado japo tumeshikwa vibaya leoNi psg na inter