FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Dah! Tumeshinda kwa mbinde sana sema Atletico anapenda kutukazia sio kama akicheza na Madrid....sema hii game ilikua inaamua ubingwa kwa asilimia 65% kwa Barca....sasa kilichobaki hatutakiwi kucheka na hizi team nyingine...ibaki game ngumu na Madrid tu...ili tukimfunga tutangaze ubingwa
Madrid hana timu ya kucheza na sisi.

Hana kabisa.

Tena akijifanya kukamia atakufa goli 6 au 7.

Atletico wazuri sana kwenye kukaba lakini angalia tulichowafanyia.

Hii Barca watu wanaichukulia poa ila sio timu ya mzaa hata kidogo.
 
Game ilikuwa ngumu kiasi, nimeangalia first half, jamaa waliziba sana mianya, nimelala nachungulia dkk ya 70 nakuta 2-0 nikasema tumekwisha...I wish ningeamka niione show ya dkk 20 za mwisho! Watoto wapi vizuri sana.
Umekosa uondo cule mwenzangu.

Hii barca yetu ya sasa ina madogo hatari sana.

Mimi tulivyo equalize tu kwa header ya Feran Torres nkajua hawa tunawafunga.

Kweli ilikuwa mwendo wa kuwapelekea moto mpaka dakika ya 92 Yamal anapiga bao la deflection nkajua hapa shughuli tumeimaliza.
 
1💚
 

Attachments

  • 20250317_092848.jpg
    20250317_092848.jpg
    525.5 KB · Views: 16
Najuta kuacha kuangalia mechi Ile, nilipoona mpaka DK 60 tuko nyuma nikaamua nilale. Nakuja kuchungulia kitu 3, nikakimbia niwashe TV sasa shida ya DSTV mpaka iwake ikawa too late. Navizia sijui lini wataonyesha marudio lazima niangalie michomo ilivyokuwa.
Yamal ni Messi mtoto🔥🔥🔥
 
Cules.

Leo saa tano tuna kiporo chetu na osasuna.

Hii ni game ya kisasi na ni must win game ili tujikite kileleni vizuri.
 
Naombeni mniambie jina la kipa wa Barca linatamkwaje.... Btw naona Raphina yupo nje sijaridhika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom