hydroxo
JF-Expert Member
- Oct 19, 2015
- 5,468
- 11,994
Madrid hana timu ya kucheza na sisi.Dah! Tumeshinda kwa mbinde sana sema Atletico anapenda kutukazia sio kama akicheza na Madrid....sema hii game ilikua inaamua ubingwa kwa asilimia 65% kwa Barca....sasa kilichobaki hatutakiwi kucheka na hizi team nyingine...ibaki game ngumu na Madrid tu...ili tukimfunga tutangaze ubingwa
Hana kabisa.
Tena akijifanya kukamia atakufa goli 6 au 7.
Atletico wazuri sana kwenye kukaba lakini angalia tulichowafanyia.
Hii Barca watu wanaichukulia poa ila sio timu ya mzaa hata kidogo.