FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Namba hazidanganyi.
Screenshot_20250313-194058_WhatsApp.jpg
 
Hey cules.

Leo tuna game ngumu na vijana wa Simeone.

Hii game muhimu sana kushinda tuendelee kujikita kileleni.

Hope vijana watapambana tuondoke na point tatu.
 
adui muombee njaa, hii gem ngumu sana kwa sababu atletico nae anazitaka sana alama 3.
Kabisa nae baada ya kuwa eliminated in UCL macho yake yote ataamishia La liga.

Nachoamini tukiacha uzembe mdogo mdogo kama wa ile draw ya 4 4 tunawafunga vizuri tu.
 
Kabisa nae baada ya kuwa eliminated in UCL macho yake yote ataamishia La liga.

Nachoamini tukiacha uzembe mdogo mdogo kama wa ile draw ya 4 4 tunawafunga vizuri tu.
Naamini hivyo pia kikubwa tusiruhusu magoli, atletico tukiwatangulia goli mbili hawarudishi.
 
Dah! Tumeshinda kwa mbinde sana sema Atletico anapenda kutukazia sio kama akicheza na Madrid....sema hii game ilikua inaamua ubingwa kwa asilimia 65% kwa Barca....sasa kilichobaki hatutakiwi kucheka na hizi team nyingine...ibaki game ngumu na Madrid tu...ili tukimfunga tutangaze ubingwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom