Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,374
- 112,308
Hii game ni ngumu ila tutachukua point 3 muhimu.Atletico wametoka kucheza game ngumu ya UEFA na Madrid nafikiri hii ni advantage kwetu.
Sidhani kama watakuwa kwenye ubora sana kutokana na uchovu.