FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Najuta kuacha kuangalia mechi Ile, nilipoona mpaka DK 60 tuko nyuma nikaamua nilale. Nakuja kuchungulia kitu 3, nikakimbia niwashe TV sasa shida ya DSTV mpaka iwake ikawa too late. Navizia sijui lini wataonyesha marudio lazima niangalie michomo ilivyokuwa.
Yamal ni Messi mtoto🔥🔥🔥
Pitia www.fullreplays.com

Hapa unapata marudio ya mechi mbalimbali kutoka ligi kubwa na mashindano makubwa.

Mchawi bando
 
Daaaaaaah wachezaji wengi wa Barcelona Wana uchovu wa mechi za kimataifa, na Hawa Osasuna Huwa Huwa wanapata kamseleleko kwa namna hii.
 
On top of la liga table.
Screenshot_20250328-005747_LiveScore.jpg
 
Fermin lopez namkubali sana huyu bwana mdogo, had a bright future under Xavi Hernandez lakini Flick kamwondolea confidence kabisa yani though kila anapopewa play time huonyesha how good he is.
 
Thanks to injuries from Dani olmo and Marc Carsado, pablo gavi gets more minutes, taratibu anatukumbusha kwamba hakuwa golden boy kwa bahati, same applies kwa fermin.
 
Yani Hawa Girona msimu uliopita walikuwa wa moto kweli, lakini msimu huu wanacheza kwa kuviziavizia tu, wanajaa sana kwenye goli lao. Lakini kwakua tumeshawafunga goli moja watajifanya wanapanda kuja kushambulia hapo ndipo tutakapotoa kichapo heavy.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom