Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,299
- 15,026
Omar bin makunganya wa kilwa alijaribu lakn akaishia kunyongwa kwa fedheha hawa jamaa sio watuLeo ndio nimejua kwa nini mkwawa hakutaka kukamatwa na wajerumani
![]()
Omar bin makunganya wa kilwa alijaribu lakn akaishia kunyongwa kwa fedheha hawa jamaa sio watuLeo ndio nimejua kwa nini mkwawa hakutaka kukamatwa na wajerumani
![]()
👀👀👀Leo ndio nimejua kwa nini mkwawa hakutaka kukamatwa na wajerumani
![]()
waaHid
ithnaan
thalaatha
arbi3a
khamsa
sitta
Sab3a
Hahaaa!!poleDah ad sasa nahesabu kenchi apa usingizi hauji. Yani Barcelona kimeo Yanga nayo kimeo. Hivi Catalunya vipi Yani pamoja na kipigo hamuandamani uko? Kila siku tunakula 4,4 leo 8. Inabidi tuanzishe maandamano mtandaoni viongozi wajiuzulu watuletee viongozi wazuri wasajili upya.