Just imagine kungekuwa na home and away mtu angekula ishirini jumlaFirst leg (1st half) 4-1
Second leg (2nd half) 4-1
Total 8-2 hongereni kwa kichapo heavy



Ulitamba lakini kuwa mnashinda.Hapa team inabidi ifanyiwe overhauling nimeumia sana
Hakuna haja ya kuwapa pole maana kipigo hichi walistahili. Sijui ni mwaka wa ngapi barca havuki hatua ya robo fainali UCL.Poleni sana jirani zetu hapo mtaa wa pili![]()
Hakuna haja ya kuwapa pole maana kipigo hichi walistahili. Sijui ni mwaka wa ngapi barca havuki hatua ya robo fainali UCL.
Uzuri Barcelona anapotolewa huwa ni kichapo cha mbwa mwizi.Hakuna haja ya kuwapa pole maana kipigo hichi walistahili. Sijui ni mwaka wa ngapi barca havuki hatua ya robo fainali UCL.
HahahahaLeo ndio nimejua kwa nini mkwawa hakutaka kukamatwa na wajerumani
![]()
Nimewahi kusema huku timu inategemea vizee tu. Suarez, Messi, Bosquet, Pique.
Na vipass vya nyuma ndio ilikuwa advantage ya Munich