FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Baca kuna mchezaji mmoja akiongea kila mtu ana haha. Utadhani Bashite, anapanda kila mtu kichwani.
Ndio tatizo la kutengeneza miungu watu ktk timu.

Messi anaigawa timu,

wachezaji hawamsikilizi tena kocha wao wanamskiliza Messi tu.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😜🙄😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😆😄😄😄😄😄😄😍😄😝😝🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😬😬😬😬😬😅😅😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓
 
Ndio tatizo la kutengeneza miungu watu ktk timu.

Messi anaigawa timu,

wachezaji hawamsikilizi tena kocha wao wanamskiliza Messi tu.
Hebu mpe heshima anayostahili mchezaji bora wa karne..
Hakuna aliyemtengeneza huyu kiumbe kuwa mungu mtu zaidi ya kipaji chake cha kuzaliwa.... Umeiona ile free kick lakini ?
 
Majirani mpo

mfalme kesharudi mahali pakeView attachment 1508956
mmebebwa wazi wazi...
Pamoja na barca kasi yake kupungua lakini yaonyesha jinsi management ya real Madrid walivyoitumia ile break ya corona kuweka mikakati michafu ya kuhakikisha barca anaminywa kwa hali yoyote ile
Kwa aliyefuatilia game za karibuni za real Madrid na game za barca hatopinga hili ..leo tumeshuhudia kwa mara ingine goli assist ya Messi likikataliwa, pia goli zuri la suarez likikataliwa...
Kuna game ya last week goli la Messi pia lilikataliwa, siku hiyo ter stegen akaitoa penati refa akaamuru penati irudiwe ! Tukafungwa penati refa akaridhika
Haya ukitazama mechi za real Madrid kwanza huwa wanakamatwa sana pale sasa juhudi za waamuzi zinaonekana wazi, utashangaa wanapewa penati mfululizo
 
mmebebwa wazi wazi...
Pamoja na barca kasi yake kupungua lakini yaonyesha jinsi management ya real Madrid walivyoitumia ile break ya corona kuweka mikakati michafu ya kuhakikisha barca anaminywa kwa hali yoyote ile
Kwa aliyefuatilia game za karibuni za real Madrid na game za barca hatopinga hili ..leo tumeshuhudia kwa mara ingine goli assist ya Messi likikataliwa, pia goli zuri la suarez likikataliwa...
Kuna game ya last week goli la Messi pia lilikataliwa, siku hiyo ter stegen akaitoa penati refa akaamuru penati irudiwe ! Tukafungwa penati refa akaridhika
Haya ukitazama mechi za real Madrid kwanza huwa wanakamatwa sana pale sasa juhudi za waamuzi zinaonekana wazi, utashangaa wanapewa penati mfululizo
Unayasikia maumivu naona..

Barca mmezoea zoea

S
 
Hebu mpe heshima anayostahili mchezaji bora wa karne..
Hakuna aliyemtengeneza huyu kiumbe kuwa mungu mtu zaidi ya kipaji chake cha kuzaliwa.... Umeiona ile free kick lakini ?
haya endleeni kumtukuza kiumbe huyo huku akiigawa timu, huku ubingwa wa hispania mmeshapoteza na mnaelekea kupoteza wa uefa.
 
mmebebwa wazi wazi...
Pamoja na barca kasi yake kupungua lakini yaonyesha jinsi management ya real Madrid walivyoitumia ile break ya corona kuweka mikakati michafu ya kuhakikisha barca anaminywa kwa hali yoyote ile
Kwa aliyefuatilia game za karibuni za real Madrid na game za barca hatopinga hili ..leo tumeshuhudia kwa mara ingine goli assist ya Messi likikataliwa, pia goli zuri la suarez likikataliwa...
Kuna game ya last week goli la Messi pia lilikataliwa, siku hiyo ter stegen akaitoa penati refa akaamuru penati irudiwe ! Tukafungwa penati refa akaridhika
Haya ukitazama mechi za real Madrid kwanza huwa wanakamatwa sana pale sasa juhudi za waamuzi zinaonekana wazi, utashangaa wanapewa penati mfululizo
Haya. Hembu rudia kusema hivi bila kulia.
 
mmebebwa wazi wazi...
Pamoja na barca kasi yake kupungua lakini yaonyesha jinsi management ya real Madrid walivyoitumia ile break ya corona kuweka mikakati michafu ya kuhakikisha barca anaminywa kwa hali yoyote ile
Kwa aliyefuatilia game za karibuni za real Madrid na game za barca hatopinga hili ..leo tumeshuhudia kwa mara ingine goli assist ya Messi likikataliwa, pia goli zuri la suarez likikataliwa...
Kuna game ya last week goli la Messi pia lilikataliwa, siku hiyo ter stegen akaitoa penati refa akaamuru penati irudiwe ! Tukafungwa penati refa akaridhika
Haya ukitazama mechi za real Madrid kwanza huwa wanakamatwa sana pale sasa juhudi za waamuzi zinaonekana wazi, utashangaa wanapewa penati mfululizo
Kunywa maji mengi punguza hasira
 
mmebebwa wazi wazi...
Pamoja na barca kasi yake kupungua lakini yaonyesha jinsi management ya real Madrid walivyoitumia ile break ya corona kuweka mikakati michafu ya kuhakikisha barca anaminywa kwa hali yoyote ile
Kwa aliyefuatilia game za karibuni za real Madrid na game za barca hatopinga hili ..leo tumeshuhudia kwa mara ingine goli assist ya Messi likikataliwa, pia goli zuri la suarez likikataliwa...
Kuna game ya last week goli la Messi pia lilikataliwa, siku hiyo ter stegen akaitoa penati refa akaamuru penati irudiwe ! Tukafungwa penati refa akaridhika
Haya ukitazama mechi za real Madrid kwanza huwa wanakamatwa sana pale sasa juhudi za waamuzi zinaonekana wazi, utashangaa wanapewa penati mfululizo
Bado hamjaimba kwaya vzr..
 
footballcomedian-20200717-0001.jpg
 
Membe ni lowasa alieye changamka.
Barcelona ni Yanga iliochangamka
Tukiongelea zama hizi hapa duniani timu bora ya muda wote ni Barcelona mchezaji bora wa dunia ni Messi..na hili kila Mtu analijua
Sio mbaya tumepoteza na si ajabu ikatokea tusifanye vema kwenye uefa lakini hayo yote yatapelekea kutusukuma kurekebisha mapungufu ktk kikosi
 
Tukiongelea zama hizi hapa duniani timu bora ya muda wote ni Barcelona mchezaji bora wa dunia ni Messi..na hili kila Mtu analijua
Sio mbaya tumepoteza na si ajabu ikatokea tusifanye vema kwenye uefa lakini hayo yote yatapelekea kutusukuma kurekebisha mapungufu ktk kikosi


Ni trophyless season ndugu. Mwaka huu Messi akinyanyua kwapa basi labda ananusa mavuzi yake tu.
 
Tukiongelea zama hizi hapa duniani timu bora ya muda wote ni Barcelona mchezaji bora wa dunia ni Messi..na hili kila Mtu analijua
Sio mbaya tumepoteza na si ajabu ikatokea tusifanye vema kwenye uefa lakini hayo yote yatapelekea kutusukuma kurekebisha mapungufu ktk kikosi
Timu bora kwa kigezo kipi mkuu?? Kupiga pasi au?
 
Tukiongelea zama hizi hapa duniani timu bora ya muda wote ni Barcelona mchezaji bora wa dunia ni Messi..na hili kila Mtu analijua
Sio mbaya tumepoteza na si ajabu ikatokea tusifanye vema kwenye uefa lakini hayo yote yatapelekea kutusukuma kurekebisha mapungufu ktk kikosi
Wakati nyie mkijiita timu bora duniani sisi tutaendelea kuvunja records.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom