IFRS
JF-Expert Member
- Dec 19, 2014
- 2,920
- 5,267
Punguza munkariWassenge mna bahati. Mnasubiri Madrid tupoteze game moja tu mtoke mashimoni huko!! Sasa hivi mpo kimyaaa pamoja na kushinda leo.
Punguza munkariWassenge mna bahati. Mnasubiri Madrid tupoteze game moja tu mtoke mashimoni huko!! Sasa hivi mpo kimyaaa pamoja na kushinda leo.
Kama vipi tunaomba Mods waunganishe huu uzi na ule wa Yanga.



WamepanikiWameutelekeza uzi
Kati ya match zilizobakia Real Madrid hawataamini watapoteza moja na kutoa draw match moja na kikombe kitarudi Camp Nou kama kawaida
Barcelona atashinda match zote zilizobakia
Huu sio utabiri ,hizi ni expert calculations,hata marefa wakiwabeba Kama ilivyotokea match 3 zilizopita hawatachukua Laliga
Ushindi wao mwembamba wa goli 1 sio bahati mbaya wana technical problem ya attacking line yao ....huwezi kuchukua ubingwa na forward mbovu kiasi kile







.
Mkuu tutapoteza game ya mwisho, ila droo itabidi utupe uliyonayo. Iwe ya kabati sisi tutachukua tu.Kati ya match zilizobakia Real Madrid hawataamini watapoteza moja na kutoa draw match moja na kikombe kitarudi Camp Nou kama kawaida
Barcelona atashinda match zote zilizobakia
Huu sio utabiri ,hizi ni expert calculations,hata marefa wakiwabeba Kama ilivyotokea match 3 zilizopita hawatachukua Laliga
Ushindi wao mwembamba wa goli 1 sio bahati mbaya wana technical problem ya attacking line yao ....huwezi kuchukua ubingwa na forward mbovu kiasi kile
Kati ya match zilizobakia Real Madrid hawataamini watapoteza moja na kutoa draw match moja na kikombe kitarudi Camp Nou kama kawaida
Barcelona atashinda match zote zilizobakia
Huu sio utabiri ,hizi ni expert calculations,hata marefa wakiwabeba Kama ilivyotokea match 3 zilizopita hawatachukua Laliga
Ushindi wao mwembamba wa goli 1 sio bahati mbaya wana technical problem ya attacking line yao ....huwezi kuchukua ubingwa na forward mbovu kiasi kile
Huu ndio ukweli, huenda pia walijiamini sana kutokana na kuyumba kwa striker za madridBarcelona baada ya corona wamecheza hovyo sana
Calculation za dokta shika hiziExpert Calculations!

Baca kuna mchezaji mmoja akiongea kila mtu ana haha. Utadhani Bashite, anapanda kila mtu kichwani.Huu ndio ukweli, huenda pia walijiamini sana kutokana na kuyumba kwa striker za madrid