Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,128
- 11,937
Mkuu umerudi.. karibu bwana.. kitambo sana..
Maana ya nyumbani ni nini?
Maana ya nyumbani ni nini?
Mkuu umerudi.. karibu bwana.. kitambo sana..
Nimerudi kamanda wangu, majukumu tu yamenibana...kwema lakini?
Matatizo tu vijana wanataka kutupotezea ubingwa hivi hivi tusinyanyue makwapa asee
Shabiki usie maandazi je unafahamu baselona anahitaji kwa sasa angalau point 5 ili ndio aongeze ligi?We nae acha ushabiki maandazi.
Ukweli ni kwamba, Madrid tukipoteza game hata moja tu (mfano leo dhidi ya Alaves) ujue ubingwa tunaukosa.
Calculations zangu zipo very perfect ,follow my leadLaliga 2019-20
Baselona VS Madrid mechi ya kwanza iliisha kwa draw
Madrid VS Baselona mechi ya pili Madrid alishinda 2-0
Ili muongoze ligi inabidi mechi 3 kati ya 4 zilizobaki Madrid wapoteze zote au wafungwe moja na kudraw 2
Itawezekana?
Mtatoa kamasi sana safari hii.Madrid hawezi shinda bila kupewa penati/kubebwa...hilo liko wazi
Hadi hivi sasa blaugarana wana ita maji mmaa. Karma🤣😂leo hii barca ni wa kulia lia hivi ?😂
Timu mechi karibia ya nne sasa mfululizo wanapewa penati
Mkuu lalamika kwanini kila mechi wanawachezea fauli kwenye 18.Timu mechi karibia ya nne sasa mfululizo wanapewa penati
Wamenikera sana kamanda, wakiendelea na ujinga huo madrid ananyanyua...mpaka sasa tofauti ya point moja tu..tuwaombee leo wapoteze ama wadroo kabisa...
Calculations zangu zipo very perfect ,follow my lead
Madrid hawezi shinda bila kupewa penati/kubebwa...hilo liko wazi


poleni Sana UKAWA wa hispania.Kata Rufaa mkuuTimu mechi karibia ya nne sasa mfululizo wanapewa penati
Wassenge mna bahati. Mnasubiri Madrid tupoteze game moja tu mtoke mashimoni huko!! Sasa hivi mpo kimyaaa pamoja na kushinda leo.