Unajichanganya sana Kwa kulinganisha individual achievement na Collective achievement
Tunapozungumzia performance kuna individual performance na Collective performance...
Hapa unapogusia makombe hayo ni Collective Performance.. Kuanzia mfagiaji hadi Uongozi wa juu...
Ndo maana Team ikishuka anayefukuzwa ni Kocha...
Kwanini Kocha?
Kwa sababu yeye ndiye Kiunganishi cha wote..
Yeye ndo mtendaji mkuu, anayesimamia shughuli za kila siku za kisoka...
Ukisema Messi kasababisha au anasababisha Team idrop una maana wachezaji wengne ni bora kumzidi.. na Messi kafail kutimiza majukumu yake (hachezi vizuri tena)
Hapa ungetuambia Mfungaji bora wa Barcelona ni Back (Pique, Lenglet au Semedo



)
Ungetuambia Messi amezidiwa hadi assists na Alba nk
Unasema Messi kashuka kwa kuangalia ufungaji magoal, wakati huo yeye ndo Mfungaji bora, sio Barça tu ila La Liga nzima...
Unasema Messi kashuka kiwango kwa kugusia Umri wake, maajabu sana .
Kuhusu umri Barcelona hawezi kufanya mabadiliko ya wakati mmoja kwa wakuwauza wachezaji, hapana mabadiliko yanakuwa ya taratibu,
Team kubwa kama Barcelona na Madrid hazifanyi mambo Kwa kubahatisha
Ndo maana Madrid akina Ramos, Modric bado wapo... Replacement infanyika taratibu...
Hivyo hivyo Kwa Barcelona...
Kwa Barcelona Messi ni zaidi ya mchezaji tumwonavyo..
Messi ni Nembo ya La Liga.. Hawezi kutoka kama tunavyodhani
Messi Hawezi kuuzwa, japo kweli itafika muda wa ukomo wa kucheza...
Messi ni MBUZI

