FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Mkuu swalaamaaa

Hamna namna inabidi nirudi tu mazima pamoja na ugumu wa shule ,maisha halafu JF walizingua notifications zilikua hazifiki etc


Jamani eeeh mmeona zile crosses na magoli anayofunga Messi ?am so excited kuwaona blaugrana wanarudi leo halafu najipa hope naiona laliga ,UEFA camp Nou ,ile ndoto ambayo haiukutimia mwaka Jana kwa ujinga wa Velverde inakuja....

We need to play complex football especially kwenye transition na tackling ,yale magoli ya ki_fala nadhani yamefanyiwa kazi ,katikati pia akina Mello,Busquets ,De Jong ,Rakitoc,Vidal sio kila kazi anabebeshwa tu Messi

Kocha needs to capilize abilities of every play and achieve synergies

Natamani tucheze match na team wao waguse mpira dakika 2 tu kila baada ya nusu saa ,our play is sorely based on possession we can't deny the fact

Siku njema


If wishes were horses
 
Mamboo yameanza
20200613_224030.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom