controler
JF-Expert Member
- Jul 3, 2012
- 1,562
- 361
Mkuu swalaamaaa
Hamna namna inabidi nirudi tu mazima pamoja na ugumu wa shule ,maisha halafu JF walizingua notifications zilikua hazifiki etc
Jamani eeeh mmeona zile crosses na magoli anayofunga Messi ?am so excited kuwaona blaugrana wanarudi leo halafu najipa hope naiona laliga ,UEFA camp Nou ,ile ndoto ambayo haiukutimia mwaka Jana kwa ujinga wa Velverde inakuja....
We need to play complex football especially kwenye transition na tackling ,yale magoli ya ki_fala nadhani yamefanyiwa kazi ,katikati pia akina Mello,Busquets ,De Jong ,Rakitoc,Vidal sio kila kazi anabebeshwa tu Messi
Kocha needs to capilize abilities of every play and achieve synergies
Natamani tucheze match na team wao waguse mpira dakika 2 tu kila baada ya nusu saa ,our play is sorely based on possession we can't deny the fact
Siku njema
If wishes were horses
katoa assist 2 goli 1...


