Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,128
- 11,937
Juve wanatoa 72m ila nasikia barca wamekanusha kuhusu hiyo agreement
Arthur tulipigwa pale ni average player
Arthur tulipigwa pale ni average player
Kwahiyo unaafiki pjanic aje licha ya uzee...
Timu langu linakua timu la kiveterani hakuna mtu ameweza kuwagusa wale wazee ...setien kashashindwa kudadeki zake..
Wabrazili uwa hawakawii kudrop, nakupa miaka miwili tu kwa arthur anapotea hutaamini,,,Pjanic na uzee wake still mtamu na anaji2ma sana sema tu baada ya cr7 kwenda pare wakamuondolea majukumu kama freekik, cross n.k
Unapoint
Pjanic anakuja..mmeuza ArthurTunacheza vizuri ad sasa sema tunategemea maajabu ya mtu mmoja pale mbele yani assist atoe yeye, kufunga afunge yeye. Tunahitaji viungo wabunifu kwenye kutoa pass za mwisho na winga walau mbunifu anaejua kupunguza awatanue watanue uwanja.
Setien anazingua.. dogo anajua sanaNimejua leo kwanini Barca hawana shida ata akiondoka Arthur asee Yule mtoto Piug anajua sana. Leo kabadili sana mchezo, changamoto ya Arthur anamiliki mpira vizuri Ila pasi zake hazina madhara lakini huyu mtoto Piug Leo kaupiga mwingi mno na pass zake zinaenda mbele nanzina madhara sana. Huyu mtoto apewe nafasi Kwa l kweli.
😊 Matokeo vipi?2nd goal. SuarezView attachment 1490402
😊 Matokeo vipi?
Hii team ya kikuma sana wadau