Lukub
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 3,790
- 4,284
Mzaa upi hii team imechoka hata washaiki wanajua champions league akikutana na majogoo aggregate ya 7-1 inamuhusu ,camp nou 1-3 ,anfield 4-0
Mzaa upi hii team imechoka hata washaiki wanajua champions league akikutana na majogoo aggregate ya 7-1 inamuhusu ,camp nou 1-3 ,anfield 4-0
Mzaa upi hii team imechoka hata washaiki wanajua champions league akikutana na majogoo aggregate ya 7-1 inamuhusu ,camp nou 1-3 ,anfield 4-0
Tikitaka sio suluhisho la matatizo ya barca kwa sasa. Tatizo la barca ni frontline butu na midfield isiyotengeneza nafasi za kutosha.
Kuna maana gani kua na position ya 81% kipindi chote cha kwanza bila kupata goli? Unaenjoy vipi hizi pasi kama upatikanaji wa magoli sio wa uhakika?
Once upon a time, we had xavi and iniesta. Hakika tulienjoy tikitaka sababu waliweza kuhold mpira, kupenya defence ngumu za wapinzani na kutengeneza nafasi za magoli kwa pasi za mwisho zilizokua world class.
Haikua ajabu kushinda goli sita mpaka nane wakati mwingine. Hapa tikitaka ilikua tamu haswa. Sababu tulikua na uhakika wa kupata goli muda wowote.
Mambo yamebadilika wakuu. Viungo tulionao hawafiki hata nusu ya uwezo wa xavi na iniesta. Nafasi zinatengenezwa chache, na uwezo wa ku unlock defence za wapinzani uko chini sana. Tunabaki kutegemea miujiza ya messi tu.
Kama mnakumbuka wakati MSN wanaitawala dunia, kulikua na mabadiliko ya namna tulivyocheza. Tulipiga pasi za harakaharaka na kushambulia kwa spidi from every angle. Tukaiteka dunia.
Nadhani kwa aina ya wachezaji tulionao, ndio mfumo unaotufaa zaidi. Kumuweka griezman apige tikitaka ni kama kumfundisha bata ustaarabu. Ni ngumu sana.
Kwa midfield ya akina rakitic, unaweza kupiga pasi buku jero ambazo hazina madhara kabisa kwa timu pinzani.
Ni either tupate watu sahihi watakao itendea haki tikitaka, au tukubali akina griezman wakimbie na mpira. Tofauti na hapo, tutapiga pasi kama dobi na bado ushindi tutaupata kwa mbinde.
Watu wanapaki, wanakupiga kimoja then wanakuacha upige pasi zako zisizo na madhara. We are better than that.
Nisiwachoshe wakuu, kilichonipoteza humu ni ile trauma ya anfield. Football isn't the same nowadays, imekua ngumu sana kusahau ile kitu.
Adios!
siku niliyoandika haya nilionekana msaliti. watu wakasema ni bora tufungwe ila tiki taka ichezwe. You can pass all night long, but if you dont score, it was all in vain!Tikitaka sio suluhisho la matatizo ya barca kwa sasa. Tatizo la barca ni frontline butu na midfield isiyotengeneza nafasi za kutosha.
Kuna maana gani kua na position ya 81% kipindi chote cha kwanza bila kupata goli? Unaenjoy vipi hizi pasi kama upatikanaji wa magoli sio wa uhakika?
Once upon a time, we had xavi and iniesta. Hakika tulienjoy tikitaka sababu waliweza kuhold mpira, kupenya defence ngumu za wapinzani na kutengeneza nafasi za magoli kwa pasi za mwisho zilizokua world class.
Haikua ajabu kushinda goli sita mpaka nane wakati mwingine. Hapa tikitaka ilikua tamu haswa. Sababu tulikua na uhakika wa kupata goli muda wowote.
Mambo yamebadilika wakuu. Viungo tulionao hawafiki hata nusu ya uwezo wa xavi na iniesta. Nafasi zinatengenezwa chache, na uwezo wa ku unlock defence za wapinzani uko chini sana. Tunabaki kutegemea miujiza ya messi tu.
Kama mnakumbuka wakati MSN wanaitawala dunia, kulikua na mabadiliko ya namna tulivyocheza. Tulipiga pasi za harakaharaka na kushambulia kwa spidi from every angle. Tukaiteka dunia.
Nadhani kwa aina ya wachezaji tulionao, ndio mfumo unaotufaa zaidi. Kumuweka griezman apige tikitaka ni kama kumfundisha bata ustaarabu. Ni ngumu sana.
Kwa midfield ya akina rakitic, unaweza kupiga pasi buku jero ambazo hazina madhara kabisa kwa timu pinzani.
Ni either tupate watu sahihi watakao itendea haki tikitaka, au tukubali akina griezman wakimbie na mpira. Tofauti na hapo, tutapiga pasi kama dobi na bado ushindi tutaupata kwa mbinde.
Watu wanapaki, wanakupiga kimoja then wanakuacha upige pasi zako zisizo na madhara. We are better than that.
Nisiwachoshe wakuu, kilichonipoteza humu ni ile trauma ya anfield. Football isn't the same nowadays, imekua ngumu sana kusahau ile kitu.
Adios!
Ruka ruka tu UCL mmepangwa na mzembe otherwise machozi ya damu yangewatoka tena camp nou hapo hapo
Ruka ruka tu UCL mmepangwa na mzembe otherwise machozi ya damu yangewatoka tena camp nou hapo hapo
Barca ni Man u ya Spain siku huyu Messi akiweka chini viatu basi ni kama Sir Ferguson alivyoachia Man u. team imekuwa miaka yote kucheza kwa ajili ya Messi hii team itakuja kupata tabu sana kuja kukaa sawa. Team lazima iwe na mfumo halafu wachezaji wa fit mfumo sio team ifit mfumo wa mchezaji hayo ni majanga.
Hivi team inapata point ikiwa na Ball Possesion? mpira ni magoal na ushindi mbwembwe zingine sijui pass alfu 10 hazina faida yoyote katika mpira jana Valencia wangeshinda hata goal 4Ball Possession
Valencia CF: 28%
FC Barcelona: 72%
wakuu vipi? bado mna hasira na mimi? ukweli utabaki kua ukweli, tatizo letu ni front line, sio possesion. RAha ya mechi bao!
siku niliyoandika haya nilionekana msaliti. watu wakasema ni bora tufungwe ila tiki taka ichezwe. You can pass all night long, but if you dont score, it was all in vain!
uko sahihi mkuu. Ila kwa mawazo yangu tiki taka imekua outdated. Nilisema hapa, wapinzani wameshajua dawa yake. Wanapaki, wanatupiga kimoja then wanatuacha tunapiga pasi zetu hata ziwe elfu kumi. We need to play attacking footballMzee nami narudia tena ... hakuna barca fan ambaye hajui kwamba tunahitaji wachezaji mbele na nyuma hilo halina ubishi na linaeleweka..
ndio maana ilikua furaha sana kwa baadh ya watu kuumia kwa suarez ili angalau tujaribu na kitu tofauti tulicho nacho...
Hatukua na imani na consintency ya suarez tangu enzi za valverde kibaya thats not up to us kudecide..
So hadi wafanye maamuzi wao unless otherwise sisi tutaendelea tu kusapoti timu yetu kwa maumivu hivo hivo..
Kunatimu zinapitia magumu bora ya sisi ambao atleast tumeonesha tunahitaji changes kwa kuanzia na kocha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pasi ziko slow sana yaniuko sahihi mkuu. Ila kwa mawazo yangu tiki taka imekua outdated. Nilisema hapa, wapinzani wameshajua dawa yake. Wanapaki, wanatupiga kimoja then wanatuacha tunapiga pasi zetu hata ziwe elfu kumi. We need to play attacking football