kijazi07
JF-Expert Member
- Feb 14, 2016
- 1,035
- 2,211
Sina iman kabisa na Griz kuna muda mpaka unawaza yupo au hayupo
Dembele ndo makalio kabisa anachenga nyingi ila mwisho wa siku anapoteza mpira
Ansu fati safi alijitahid kwa muda mchache alioingia
King leo haina haja kuongea tuliona namna alivyo tafuta nafasi za kufunga
Dembele ndo makalio kabisa anachenga nyingi ila mwisho wa siku anapoteza mpira
Ansu fati safi alijitahid kwa muda mchache alioingia
King leo haina haja kuongea tuliona namna alivyo tafuta nafasi za kufunga
