FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Sina iman kabisa na Griz kuna muda mpaka unawaza yupo au hayupo

Dembele ndo makalio kabisa anachenga nyingi ila mwisho wa siku anapoteza mpira

Ansu fati safi alijitahid kwa muda mchache alioingia

King leo haina haja kuongea tuliona namna alivyo tafuta nafasi za kufunga
 
Kwamba hana tofaut na hazard wa RM

Ila swala la griz kunyanyapaliwa sio la kubeza kabisa..

Messi-suarez friendship unaigharimu timu sasa

Mimi sion haja ya kuwalaumu wachezaji kwa sasa mpaka huyo clown anaeshikiria kijiti atimuliwe
Sina iman kabisa na Griz kuna muda mpaka unawaza yupo au hayupo

Dembele ndo makalio kabisa anachenga nyingi ila mwisho wa siku anapoteza mpira

Ansu fati safi alijitahid kwa muda mchache alioingia

King leo haina haja kuongea tuliona namna alivyo tafuta nafasi za kufunga
 
Kwamba hana tofaut na hazard wa RM

Ila swala la griz kunyanyapaliwa sio la kubeza kabisa..

Messi-suarez friendship unaigharimu timu sasa

Mimi sion haja ya kuwalaumu wachezaji kwa sasa mpaka huyo clown anaeshikiria kijiti atimuliwe
Grienzmann ameshanyanyapaliwa kumbe
 
IMG_20191106_163328_711.jpeg
 
Sina iman kabisa na Griz kuna muda mpaka unawaza yupo au hayupo

Dembele ndo makalio kabisa anachenga nyingi ila mwisho wa siku anapoteza mpira

Ansu fati safi alijitahid kwa muda mchache alioingia

King leo haina haja kuongea tuliona namna alivyo tafuta nafasi za kufunga
Griz off the ball movement zake ni poor,afadhali Dembele at least you know yupo-Griz ni marksman but he seems to be at the back most of the time. Hii game naamini Suarez would have scored
 
Jordi alba nje mwezi mzima...
Huyu nae si wa kumtegemea sasa...kiujumla ukuta wetu upo mashakani sana.maana kama huna Umtiti huna Alba hapo kuna nini tena?Semedo nae huchoka sana ikifikia 60 mins
 
Unajua Barcelona board inajipa matumaini kuwa huyu kocha bado anafaa,

Ukweli ni kubwa huyu kocha hafai tena, nidhani kafikia kiwango chake cha mwisho ashauriwe ajihudhuru

Kosa kubwa ni kutompa pressure pamoja na matokeo mabovu inasikitisha
 
Barca mwaka huu ikipata kikombe chochote itakua kwa neema tu,huwezi wazingua watu waliokua tayari kutolipwa stahiki zao ili ney arudi then unawaangusha.Pesa ya griezman wangeongeza wangempata neymar...wanamuangusha Messi kushinda balloon....!
La Liga na Copa del rey tunaweza tukabeba ila kwa mwendo huu Uefa bado sana.
 
PSG nasikia leo wametoa tamko la kumwacha free Neymar Junior msimu ujao hii yaweza kua faraja kwetu tumuombee tu asiandamwe na majeruhi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom