Statesmann
JF-Expert Member
- Jul 16, 2019
- 2,344
- 3,465
hii team ndio ya kuchukua UEFA?
Messi akizidiwa hakuna wa kubadili matokeo na nashangaa kwanini Coutinho aliuzwa wakati pale benchi kuna wazee na watoto weng wasio na uzoefu
Huyu kocha hawezi kutupa ubingwa wa ulaya kama game za ugenini hawezi kushinda
Messi akizidiwa hakuna wa kubadili matokeo na nashangaa kwanini Coutinho aliuzwa wakati pale benchi kuna wazee na watoto weng wasio na uzoefu
Huyu kocha hawezi kutupa ubingwa wa ulaya kama game za ugenini hawezi kushinda