mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 22,477
- 21,023
Wakuu salama?PRAISE TO DE JONG
Yale mambo aliyoyafanya jana hata mwenyewe sijaelewa yaani tactically ,Jamaa all over the pitch alikua anaonekana sio kwenye kukaba ,kushambulia wala ku win mipira
Kuna muda niliona anacheza kama beki 4 (tukiwa tunashambuliwa) hii ilileta balance kwa Umtiti na Lenglet (central defence ) kuna muda nilimuona katikati anasuka Mipango na ku press kwa opponents hii ilimletea relief kwa Arthur Mello na Busquets ,
Kuna muda nilikua namuona right wing akichezana Messi kwa ku switch position yaani Messi anaingia ndani (kama kawaida yake ) na space ina be occupied na De Jong kama right winger ....,alishangaza zaidi kuna muda Semedo anapanda kushambulia De Jong anakua ame occupy position ya RB (praise to him)
Kuna time mpira ukiwa upande wa kushoto ..Griezman anaingia ndani (katikati ),De Jong anakaa higher position ya Alba (Inverted LB) Halafu anachonga passes kwa Alba (anakuwa winger) za kwenda kushambulia
Kwenye transitions of balls tukinyang'anywa namuona mpira unakua mbele yake kufanya tackling ...aisee very interesting inailetea team balance especially wakati tunashambuliwa na kutengeneza mipira
Praise to him naona sasa Velverde ameanza kumtumia ipasavyo kijana
Halafu..hivi Umtiti aliumia kweli?Zile curved passes alijifunza lini?
,yeye na Busquets wananyanyua passes juu hadi zinawafikia akina Messi na Griezman ...this time team ambazo zina press sana wajiangalie mno....
WE ARE COMING FOR TREBLE
Yale mambo aliyoyafanya jana hata mwenyewe sijaelewa yaani tactically ,Jamaa all over the pitch alikua anaonekana sio kwenye kukaba ,kushambulia wala ku win mipira
Kuna muda niliona anacheza kama beki 4 (tukiwa tunashambuliwa) hii ilileta balance kwa Umtiti na Lenglet (central defence ) kuna muda nilimuona katikati anasuka Mipango na ku press kwa opponents hii ilimletea relief kwa Arthur Mello na Busquets ,
Kuna muda nilikua namuona right wing akichezana Messi kwa ku switch position yaani Messi anaingia ndani (kama kawaida yake ) na space ina be occupied na De Jong kama right winger ....,alishangaza zaidi kuna muda Semedo anapanda kushambulia De Jong anakua ame occupy position ya RB (praise to him)
Kuna time mpira ukiwa upande wa kushoto ..Griezman anaingia ndani (katikati ),De Jong anakaa higher position ya Alba (Inverted LB) Halafu anachonga passes kwa Alba (anakuwa winger) za kwenda kushambulia
Kwenye transitions of balls tukinyang'anywa namuona mpira unakua mbele yake kufanya tackling ...aisee very interesting inailetea team balance especially wakati tunashambuliwa na kutengeneza mipira
Praise to him naona sasa Velverde ameanza kumtumia ipasavyo kijana
Halafu..hivi Umtiti aliumia kweli?Zile curved passes alijifunza lini?

,yeye na Busquets wananyanyua passes juu hadi zinawafikia akina Messi na Griezman ...this time team ambazo zina press sana wajiangalie mno....WE ARE COMING FOR TREBLE
