Inatakiwa messi akistaafu jezi namba 10 isitumike maana hakuna atakae ibeba
Mess muda huu kwenye mahojianoView attachment 1227806
Nyuma leo a Umtit na Lenglet daaah wanaenda enda tu kama vifaru
Harry kane,Marcus Rashford could be our target on coming signings...kwa mujibu wa tetesi zilizopo pia jarida moja maarufula sports nchini spain...mbappe nae kagusiwa...possibility
mbona yeye aliichukua kwa Gaucho?Inatakiwa messi akistaafu jezi namba 10 isitumike maana hakuna atakae ibeba
Na wahispania hawawezi wakaruhusu hii ila ofkoz jamaa wangejitangaza mnooo.Licha ya hivyo.. hii inahusishwa na harakati za kisiasa.
Maandmano ya wakatalunia kwajili ya kudai uhuru wao, wanataka yaende worldwide kupiti influence ya classico.
Umtiti ni beki haswa.Binafsi simkubali huyu Lenglet but umititi nakubali sanaaa napenda nyuma akikaa pique na umtiti
Binafsi simkubali huyu Lenglet but umititi nakubali sanaaa napenda nyuma akikaa pique na umtiti
Na wahispania hawawezi wakaruhusu hii ila ofkoz jamaa wangejitangaza mnooo.
Lenglet anachoma sanaaa, rafu ndo zake sasa beki kama huyu wanini....Umtiti ni beki haswa.
leo kakiwasha
Messi ni mchezaji bora kuwahi kutokea kwa kizazi hiki, hatatokea tena kama yeye kwa vizazi vying vijavyo...Jamaa hapendi sifa kama wengine ila ulimwengu unamtambua yeye ndie mchezaji bora kuwahi kutokea..wengine wanajiita nabii kwa ulazima...
Salute kwake mwamba![]()
Shida ni kwamba uyo atakaye rithi ataweza kuitendea haki? Messi kachukua kwa Gaucho na kaitendea haki tena hadi kapitiliza..mbona yeye aliichukua kwa Gaucho?
hakuna haja ya kustaafisha jezi vijana wapewe jezi nao waweke rekodi zao
sasa si ndio mpaka aichukue? tusiassume hawezi wakati hajapewaShida ni kwamba uyo atakaye rithi ataweza kuitendea haki? Messi kachukua kwa Gaucho na kaitendea haki tena hadi kapitiliza..
sasa si ndio mpaka aichukue? tusiassume hawezi wakati hajapewaShida ni kwamba uyo atakaye rithi ataweza kuitendea haki? Messi kachukua kwa Gaucho na kaitendea haki tena hadi kapitiliza..