Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 25,001
- 60,072
MWAKA UJAO WATABEBA NDOO.Psg wanafunga sanaaa ila hakuna lolote
MWAKA UJAO WATABEBA NDOO.Psg wanafunga sanaaa ila hakuna lolote
uefa cl 2019/2020.PSGNdoo ya lita ngapi![]()
Labda huko kwao sio uclMWAKA UJAO WATABEBA NDOO.
Na anaanza leo utaonaMkuu umepotea, hamna backbone pale, busquets kwa soka la sasa haendani nalo.
Soka la kupooza mpira kwa sasa halipo tena, soka linahitaji vijana damu inayochangamka muda wote wanapanda na kushuka kama akina De Jong.
Siku hakuna haja ya kukaa na kusema nimepiga pasi ngapi na ngapi zimefika, ngapi hazijafika.
Busquets mpira wake umepooza sana, akae tu benchi mbele ya De Jong.
Mfumo wa Barca-Busquets kukaa nje ni ngumu sana-hao wengine itabidi wasubiriMkuu umepotea, hamna backbone pale, busquets kwa soka la sasa haendani nalo.
Soka la kupooza mpira kwa sasa halipo tena, soka linahitaji vijana damu inayochangamka muda wote wanapanda na kushuka kama akina De Jong.
Siku hakuna haja ya kukaa na kusema nimepiga pasi ngapi na ngapi zimefika, ngapi hazijafika.
Busquets mpira wake umepooza sana, akae tu benchi mbele ya De Jong.
Kwa team hii kilaza,ni kweli anaweza funga mengi.Messi on fire...
Leo sita
Na ole wao wafunge 3Kwa team hii kilaza,ni kweli anaweza funga mengi.
As usual and alwaysStergen is keeping us in the game
ndoo gani?MWAKA UJAO WATABEBA NDOO.
MAN CITY HANA MPINZANIuefa cl 2019/2020.PSG