Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 25,001
- 60,072
UCL.ndoo gani?
UCL.ndoo gani?
Yaani nilichungulia hii mechi,haina amsha amsha.Mechi nzuri ni Intermilan vs Dortimund.Pique Leo amefanya individual mistakes nyingi sana
Aaahhh barca mbona inapuyanga hiviii.... au ndio kama man c jana kipindi cha pili wakakiwasha
Tuvute subira, goli 3 zinawadia hivi punde
4-0
Ina maana away games itakuwa kazi ni kuforce ushindi
Suarez Mpira wake wa kimafruku Sana japo anafungaAaaghh no CS
uefa cl 2019/2020.PSG
Shida kubwa ukuta wetu hasa Gelard yaani mfano lile goli tuliofungwa yaani mabeki watatu walikua wamemzunguka mfungaji anawatoka kirahisi anafunga....ter stegen alijitahidi sana jana mwisho akachoka.Tunatia huruma