FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Jersey haiwezi kustafu hasa namba 10, japo heshima ya hiyo jersey inabaki kutambulika..

Number haiwezi badilika isipokuwa majina hubadilika...

Jersey ya Messi itatundikwa kama kumbukumbu na watakaokuja watavaa namba 10 wataweka nao history zao...

Kuna namba wachezaji wakizivaa zinawapa motivation mfano 11,10, 9, 8, 7, 6, nk huwezi kuziacha kuzitumia

Messi alikabidhiwa namba 10 na Ronadinho nayeye hivyohivyo kwa heshma ataikabidhi kwa mtu ambaye atadhani anaweza fit na hiyo namba..

Heshima siyo kuiweka jersey isitumike ila ni kuwapa wachezaji wenye sifa za hiyo jersey na kutambua wajibu wao..
Safi kabsa mkuu sioni haja ya kistaafisha jezi
vijana wapewe nafasi ili nao waweke rekodi zao
 
Mess muda huu kwenye mahojiano
Screenshot_2019-10-09-18-31-29.jpeg
 
Harry kane,Marcus Rashford could be our target on coming signings...kwa mujibu wa tetesi zilizopo pia jarida moja maarufula sports nchini spain...mbappe nae kagusiwa...possibility
 
Harry kane,Marcus Rashford could be our target on coming signings...kwa mujibu wa tetesi zilizopo pia jarida moja maarufula sports nchini spain...mbappe nae kagusiwa...possibility
Kane na Rashford naamini kabisa Barca hata kwa free transfer haiwezi kuwataka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom