Coutinho,Paco Alcacer sio type ya Barca,elsewhere wanaweza cheza vizurije coutinho bayern anafanya nini now?




Huyu refa sijui ana nini na Barca, hakunaga jema, usiombe achezeshe El Classico.Huyu referee Matheo Lahoz nimeamini kabisa hatupendi Barcelona na ni Madrista
Tusi zito limfikie atakalala huko,who straight red card?upaa wake kama nyumba ya babu
Fala sana alitamani iwe ndani ya BOX atoe penatiHuyu referee Matheo Lahoz nimeamini kabisa hatupendi Barcelona na ni Madrista
Tusi zito limfikie atakalala huko,who straight red card?upaa wake kama nyumba ya babu
Kbs ayo ndo uwa mawazo yng kwa heshm ya mchezaj bora wa muda wote jezi namba 10 watakiwa waitoe kbs. Sema ss sheria za la liga ngumu sna kustaafisha jeziInatakiwa messi akistaafu jezi namba 10 isitumike maana hakuna atakae ibeba
Semedo,siku zote akicheza hivi Barca hawezi pata shida-fullback Barca ina maana unashinda kwenye half ya opposition.
Semedo a forage mbele na J Alba nae ashinde mbele-nobody can hold us down.
Duuh!!! Dembele akitazama that open goal he missed,lazima alie machozi