Franklin1902
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 2,241
- 4,876
Kbs mkuu.. Anatuchoma sana mzee na sik iz anapoteza mpr kirahic inakua tabu balaa tunaanza kusakwa kama weziWell said mkuu, Busquets apumzishwe tu. Awe anatokea Sub Strategically tu
Gemu ya Inter Juzi hadi Valverde mwenyewe alimuona jinsi alivyozidiwa akampiga Sub