ThanksSaa 4 kamili usiku.
Timu imecheza vizuri jamani hebu tujipongeze,la muhimu kwanza nadhani ni timu kushikana(players)
Ila Suarez anaendelea kua mzito..yeye leo ameonyesha kupwaya zaidi ktk nafasi yake...dembele ameanza vizuri..na amejaribu mara kadhaa kumshushia vitu suarez..ila mtu.mzima mara amekosa mara amejikanyaga...Griezzman anakuja vizuri sana lakini yooote tunakushukuru mungu kutukuzia huyu dogo Ansummanne fati...eeh bwana ni hatari..'wonder kid...'Suarez angetoka mapema huenda tungemaliza mechi kwa ushindi mnono ! View attachment 1215473View attachment 1215474
Nikwambie kitu!
Kwanini wachezaji wa Ulaya wanaweza kuwa On fire mpaka kwenye umri wa miaka 33+ ? Lakini wachezaji wa Africa au America ya kusini ambao hawakukulia katika Academy za Timu za Ulaya wakifika umri wa miaka 29+ tu wanaanza kupoteana?
Uweli ni kwamba WAAFRIKA na WAMAREKANI WA KUSINI wanaoongoza kwa kufoji Umri ili kujirudisha miaka nyuma! Unaweza kuta mchezaji ana miaka 29 kumbe uhalisia ana miaka 34.
Sasa na huyu Suarez nakuhakikishia alidangaja umri tokea hajaenda Ulaya.
Aliponunuliwa Liverpool eti alikuwa na Miaka 23 lakini ukweli ni kwamba alikuwa hapungui miaka 26.
Sasahivi ukimtazama alivyochoka na ule mwili wake na sura Yake unadhani hafiki miaka 35 yule?
Yani wachezaji wa miaka 32 ukiwaangalia unawaona wapo vizuri, Lakini Suarez kawa kama Trakta.
Yani Suarez kadanganya umri waziwazi jamaa hapungui miaka 35 yule.
Naunga mkono hii kitu, suarez si umri wa Xavi yule?Nikwambie kitu!
Kwanini wachezaji wa Ulaya wanaweza kuwa On fire mpaka kwenye umri wa miaka 33+ ? Lakini wachezaji wa Africa au America ya kusini ambao hawakukulia katika Academy za Timu za Ulaya wakifika umri wa miaka 29+ tu wanaanza kupoteana?
Uweli ni kwamba WAAFRIKA na WAMAREKANI WA KUSINI wanaoongoza kwa kufoji Umri ili kujirudisha miaka nyuma! Unaweza kuta mchezaji ana miaka 29 kumbe uhalisia ana miaka 34.
Sasa na huyu Suarez nakuhakikishia alidangaja umri tokea hajaenda Ulaya.
Aliponunuliwa Liverpool eti alikuwa na Miaka 23 lakini ukweli ni kwamba alikuwa hapungui miaka 26.
Sasahivi ukimtazama alivyochoka na ule mwili wake na sura Yake unadhani hafiki miaka 35 yule?
Yani wachezaji wa miaka 32 ukiwaangalia unawaona wapo vizuri, Lakini Suarez kawa kama Trakta.
Yani Suarez kadanganya umri waziwazi jamaa hapungui miaka 35 yule.
hata miliner mbona ana 42Nikwambie kitu!
Kwanini wachezaji wa Ulaya wanaweza kuwa On fire mpaka kwenye umri wa miaka 33+ ? Lakini wachezaji wa Africa au America ya kusini ambao hawakukulia katika Academy za Timu za Ulaya wakifika umri wa miaka 29+ tu wanaanza kupoteana?
Uweli ni kwamba WAAFRIKA na WAMAREKANI WA KUSINI wanaoongoza kwa kufoji Umri ili kujirudisha miaka nyuma! Unaweza kuta mchezaji ana miaka 29 kumbe uhalisia ana miaka 34.
Sasa na huyu Suarez nakuhakikishia alidangaja umri tokea hajaenda Ulaya.
Aliponunuliwa Liverpool eti alikuwa na Miaka 23 lakini ukweli ni kwamba alikuwa hapungui miaka 26.
Sasahivi ukimtazama alivyochoka na ule mwili wake na sura Yake unadhani hafiki miaka 35 yule?
Yani wachezaji wa miaka 32 ukiwaangalia unawaona wapo vizuri, Lakini Suarez kawa kama Trakta.
Yani Suarez kadanganya umri waziwazi jamaa hapungui miaka 35 yule.
Mmmmmh mkuu Ulaya sio bongo.Nikwambie kitu!
Kwanini wachezaji wa Ulaya wanaweza kuwa On fire mpaka kwenye umri wa miaka 33+ ? Lakini wachezaji wa Africa au America ya kusini ambao hawakukulia katika Academy za Timu za Ulaya wakifika umri wa miaka 29+ tu wanaanza kupoteana?
Uweli ni kwamba WAAFRIKA na WAMAREKANI WA KUSINI wanaoongoza kwa kufoji Umri ili kujirudisha miaka nyuma! Unaweza kuta mchezaji ana miaka 29 kumbe uhalisia ana miaka 34.
Sasa na huyu Suarez nakuhakikishia alidangaja umri tokea hajaenda Ulaya.
Aliponunuliwa Liverpool eti alikuwa na Miaka 23 lakini ukweli ni kwamba alikuwa hapungui miaka 26.
Sasahivi ukimtazama alivyochoka na ule mwili wake na sura Yake unadhani hafiki miaka 35 yule?
Yani wachezaji wa miaka 32 ukiwaangalia unawaona wapo vizuri, Lakini Suarez kawa kama Trakta.
Yani Suarez kadanganya umri waziwazi jamaa hapungui miaka 35 yule.
Mmmmmh mkuu Ulaya sio bongo.
Kule kuna kipimo cha Body mass index (BMI).
Kinagundua umri wako wa uhalisia.
Huwezi danganya kule.
Suarez yule ni mzembe tu siku hizi wala sio umri.Mbona akiamua kucheza anacheza vema?
Inaangalia weight and age approximation mkuu.Mkuu BMI haingalii umri inaangalia kama urefu wako unaendana na uzito wako, lakin pia wao wanautaalam wa hali ya juu wa kuangalia umri sahihi lakin sio kwa kutumia BMI
Ndio hakipo exactly kupima exact age lakin kinafanya age approximation.Akipimi miaka mkuu sema kazi yake kukadilia mfano umesma una miaka 20 chenyewe hakihakikishi kua unayo io kweli ila kina kadilia apo isizidi mi 3 au isipungue na mtu anaeza sma anayo 19 akati anayo 22 kikakubali ila ikizidi zaidi kinagoma
hata miliner mbona ana 42
Mmmmmh mkuu Ulaya sio bongo.
Kule kuna kipimo cha Body mass index (BMI).
Kinagundua umri wako wa uhalisia.
Huwezi danganya kule.
Suarez yule ni mzembe tu siku hizi wala sio umri.Mbona akiamua kucheza anacheza vema?
Ndio hakipo exactly kupima exact age lakin kinafanya age approximation.
Asa mkuu suarez adanganye miaka yote hiyo from 31 to 35!!!
Si ishavuka approximation kabbisa!!!