ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Villareal tunawakaribisha kesho jumanne nyumbani camp nou
Usije kushangaa ukatokea msiba tena kama huu uliopita.,ligi inazidi kwenda Barca ndo inazidi kushuka chini 😕😕Villareal tunawajaribisha kesho jumanne nyumbani camp nou
Valverde hana mbinu za kuinoa Barcelona kabisa huyu..,na akizidi kubani hali ndo itakavyozidi kuwa mbaya.Usije kushangaa ukatokea msiba tena kama huu uliopita.,ligi inazidi kwenda Barca ndo inazidi kushuka chini 😕😕
Nakunga mkono hoja, ni kutimua Valverde haraka iwezekanavyo, bora Luis Enrique aweze kurudi au mtu mwingine yoyote yule lakini sio huyu mzee.Ukiwa na mchezaji kama Grizzman , mchezaji anayepeform katika level ya kidunia (France) na kwenye klabu (atleti) halafu ushindwe kumtumia ni wazi utaonekana kuwa hujui unachokifanya.
Hebu fikiria kuanzia Valverde awe Kocha, Suarez anazidi kuwa mmbovu, Coutinho alichemka kabisa , Rakitic anavurunda, De jong ametoka kuwasha Moto Ajax ila Barca anaonekana mmbovu, Grizzman anachemka, yaani timu nzima ukimtoa Messi na golikipa hakuna anayepeform katika level ya timu kama Barca.
Kwa mazingira hayo utawalaumu wachezaji au kocha ?
Mimi binafsi nailaumu Bodi chini ya Bartomeu kwa kushindwa kufanya maamuzi muafaka ma kuacha timu ikiendelea kuvurunda wakijua kabisa kisingizio chao kitakuwa Kocha wakati hata wao wamshindwa kufanya maamuzi sahihi
Valverde ni kituko pale Barca.Wakina iniesta na xavi waliondoka na wakamuacha Messi bila uwepo wa Neima na haikuwa shida...shida ipo kwa makocha...Griezman ni mchezaji mzuri na mwenye mafanikio makubwa katika timu ya taifa na club yake ya zamani, kuliko neima....huko ligue 1 hata asipocheza ushinndi uko pale pale, wako akina mbappe, de maria, cavan na lcardi wanatosha..
Hafai kabisa., na akiendelea kuwepo hii UCL na Barca haitafika mbali wa ligi kuuValverde ni kituko pale Barca.
Kama Vipi wamlete yule kocha wa AJAXNakunga mkono hoja, ni kutimua Valverde haraka iwezekanavyo, bora Luis Enrique aweze kurudi au mtu mwingine yoyote yule lakini sio huyu mzee.
Kama Vipi wamlete yule kocha wa AJAX
barca anapigwa mpka kuchakaaVillareal tunawakaribisha kesho jumanne nyumbani camp nou
pochetino away games hana tofauti na EVGuadiola
Simion
Pochetino
Klop
Timu kubwa na tajiri duniani lakini yameshindwa kuchukua kocha kati ya hao...spurs, liver na atletico wameweza sisi tunakwama wapi!!!
Villareal tunawakaribisha kesho jumanne nyumbani camp nou
wamwage tu ugari na wasusiane mbogaNimesikia tayari wachezaji dressing room. wameanza kugawanyika juu ya kuendelea kuwepo Varvede
pochetino away games hana tofauti na EV
Valverde ni kituko pale Barca.
Guadiola
Simion
Pochetino
Klop
Timu kubwa na tajiri duniani lakini yameshindwa kuchukua kocha kati ya hao...spurs, liver na atletico wameweza sisi tunakwama wapi!!!
Ballon d'or inanukia.Huyu jamaa anabaniwa tu...tuzo aliopata modric,bado ilimhusu messi.....the king...bila uzuzu wa kocha hata msimu huu mwakani atatangazwa yeye
Nani kama Messi ? View attachment 1214532