kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,694
- 20,648
hautak wapigwe kadi?Beki ina shida gani mbona naona Lenglet na Busquets wamewa book yellow card
hautak wapigwe kadi?Beki ina shida gani mbona naona Lenglet na Busquets wamewa book yellow card
Hapo ni defence central pillar ( Busquets&Lenglet ),I knew it what gonna happen ,ukiona hivyo jamaa walikua wanatengeneza pressure hapo sio burehautak wapigwe kadi?
Kuna kitu ..kwenye age yake was not supposed to be like this ,Hatari sana .....hivi mazoezi ndio makali kumzidi ....kma sielewi View attachment 1218810
Jumatano tunawakaribisha Inter...ila ka tahadhari tuwe nako sasa hivi jamaa wapo on fire...kwao msimu huu ni tishio zaidi ya Juve..wameshinda mfululizo ktk game zao 7 walizocheza hapa karibuni....
Mungu atusimamie..
Najiuliza sana....Kuna kitu ..kwenye age yake was not supposed to be like this ,
Ingekua Jordi Alba ,Messi,Busquets,Suarez , Pique tusingeshangaa sana
Dembele tunampenda ila majeruhi yanampenda zaidiHatari sana .....hivi mazoezi ndio makali kumzidi ....kma sielewi View attachment 1218810
Dembele tunampenda ila majeruhi yanampenda zaidi
Kwani kaumia tena?Hatari sana .....hivi mazoezi ndio makali kumzidi ....kma sielewi View attachment 1218810
Kwani kaumia tena?
Kwa Nou Camp sio rahisi kuondoka na ushindi ila kwao wangetupiga.Jumatano tunawakaribisha Inter...ila ka tahadhari tuwe nako sasa hivi jamaa wapo on fire...kwao msimu huu ni tishio zaidi ya Juve..wameshinda mfululizo ktk game zao 7 walizocheza hapa karibuni....
Mungu atusimamie..
League yao inavibonde wote hakuna chaJumatano tunawakaribisha Inter...ila ka tahadhari tuwe nako sasa hivi jamaa wapo on fire...kwao msimu huu ni tishio zaidi ya Juve..wameshinda mfululizo ktk game zao 7 walizocheza hapa karibuni....
Mungu atusimamie..
wala nini..
kwenye league yao ila wakija UCL ndoto zote zinaishaZizzu aandae mabegiMna habari za madrididiot huko... wanachakazwa vibaya