FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Mkuu Griezmann usimlaumu bado hajachanganya.kumbuka Dembele alianza km Griezmann kuvurunda hv hv ila msimu ulokuja akawa sawa.

Griezman hajachangamka?
Tena unafananisha na ujio wa Dembele?

Kumbuka: Dembele alitoka Bundes Liga ambayo ni ligi tofauti na Laliga, Kwahiyo alihitaji Muda Kuadapt na new Ligi with new system.

But Griezman ametokea hapohapo La Liga ambapo ameshacheza kwa miaka mingi! Sasa unataka azoee nini tena kwenye hii Ligi?

Kiufupi Barcelona imezoeleka kununua wachezaji kwa bei kubwa wakaishia Kuflop
 
Griezman hajachangamka?
Tena unafananisha na ujio wa Dembele?

Kumbuka: Dembele alitoka Bundes Liga ambayo ni ligi tofauti na Laliga, Kwahiyo alihitaji Muda Kuadapt na new Ligi with new system.

But Griezman ametokea hapohapo La Liga ambapo ameshacheza kwa miaka mingi! Sasa unataka azoee nini tena kwenye hii Ligi?

Kiufupi Barcelona imezoeleka kununua wachezaji kwa bei kubwa wakaishia Kuflop
Hata Man City nayo kuna wakati yatamkuta haya haya maana tangu jana Pep hakuna timu iliyowahi kumzidi kwa kiwango cha pesa ndefu za usajili pa1 na ubora wa kikosi chao.
 
Kwa kanuni za fifa kubusiana na matumizi ya pesa sioni kama barca ikashamnunua Neymar haitakua na uwezo tena wa kusajir wachezaji potential 5. Gharama ya kumpata Neymar inaweza kufika 70% ya matumizi yanayotakiwa na fifa katika usajiri, baada ya hapo itabidi itafute wachezaji wa bei ndogo ndogo kama akina junior firpo.
Uongozi wanashindwa kutengeneza timu ? Palikua na kila sababu ya management kufanya manunuzi ya zaidi ya wachezaji 6 kutoka ktk kile kikosi cha Ajax. Beki watatu na viungo watatu na striker mmoja at least, Tungewauza Suarez,Pique,Sergio,Alba...Courtinho angesalia....then ndio juhudi za kumrudisha Neymar zingeanza.
 
Katika usajir wa hovyo ni huo. Griezmann anasubur kuletewa mpira na kwa mfumo wa barca ni mda mrefu tokea iwe na mchezaji wa hivo. Upande wowote anaokaa unapooza. First half alikua upnde wa kushoto tumeona ulivyopooza, kipindi cha pili tumeona upande wa kulia ulivyopooza kwa ufupi hana ule ushambuliaji wa kushika mpira akakimbizana na beki.
Mkuu kocha mwenyewe hana mbinu za kuwapa wachezaji unadhani watachezaje?
We subiri atabadilika tu huyo Griezmann.
 
Kwa mfumo wa barca sioni akibadilika mkuu. Baada ya kuja Luis enrique mfumo wa barca wa kutawala katikati kwa kutumia viungo wa kati ulibadilika ukawa mfumo wa kutumia washambuliaji. Kwa kupitia mfumo huo viungo wa timu pinzani walilazimika kubaki nyuma kusaidiana na beki kukabiliana na MSN kwa hyo mashambulizi langoni mwa barca yanakua machache. Lakini mfumo huo kushambulia ulikua unamtegemea zaidi Messi na Neymar ambao ndio waliokua na jukumu kubwa la kutikisa ngome ya upinzani na Suarez alikua anacheza kama mshambuliaji wa mwisho. Baada ya kuondka Neymar Messi amejikuta akiwa na mzigo mzito na siku Ikitokea amezidiwa mambo yanaharibka. Ujio wa griezmann hautakua na athar maana si mtu wa kushika mpira na kupangua ngome badala yake yeye anasubir aletewe kama ilivyo kwa Suarez. Kwa sasa hivi ukimpanga Suarez na griezmann kwa wakati mmoja unakua na washambuliaji wawili wanaoitaji kuletewa mpira wakati huna viungo wa uhakika. Akija Neymar itabidi timu irudi kwenye MSN ambapo umuhimu wa griezmann hautainekana tena. Bado najaribu kufikiria nani aliyeshauri kununuliwa kwa griezmann wakati haendani na mfumo wa timu.
Mkuu kocha mwenyewe hana mbinu za kuwapa wachezaji unadhani watachezaje?
We subiri atabadilika tu huyo Griezmann.
 
Katika usajir wa hovyo ni huo. Griezmann anasubur kuletewa mpira na kwa mfumo wa barca ni mda mrefu tokea iwe na mchezaji wa hivo. Upande wowote anaokaa unapooza. First half alikua upnde wa kushoto tumeona ulivyopooza, kipindi cha pili tumeona upande wa kulia ulivyopooza kwa ufupi hana ule ushambuliaji wa kushika mpira akakimbizana na beki.

Ukiwa na mchezaji kama Grizzman , mchezaji anayepeform katika level ya kidunia (France) na kwenye klabu (atleti) halafu ushindwe kumtumia ni wazi utaonekana kuwa hujui unachokifanya.


Hebu fikiria kuanzia Valverde awe Kocha, Suarez anazidi kuwa mmbovu, Coutinho alichemka kabisa , Rakitic anavurunda, De jong ametoka kuwasha Moto Ajax ila Barca anaonekana mmbovu, Grizzman anachemka, yaani timu nzima ukimtoa Messi na golikipa hakuna anayepeform katika level ya timu kama Barca.

Kwa mazingira hayo utawalaumu wachezaji au kocha ?

Mimi binafsi nailaumu Bodi chini ya Bartomeu kwa kushindwa kufanya maamuzi muafaka ma kuacha timu ikiendelea kuvurunda wakijua kabisa kisingizio chao kitakuwa Kocha wakati hata wao wamshindwa kufanya maamuzi sahihi
 
Kwa mfumo wa barca sioni akibadilika mkuu. Baada ya kuja Luis enrique mfumo wa barca wa kutawala katikati kwa kutumia viungo wa kati ulibadilika ukawa mfumo wa kutumia washambuliaji. Kwa kupitia mfumo huo viungo wa timu pinzani walilazimika kubaki nyuma kusaidiana na beki kukabiliana na MSN kwa hyo mashambulizi langoni mwa barca yanakua machache. Lakini mfumo huo kushambulia ulikua unamtegemea zaidi Messi na Neymar ambao ndio waliokua na jukumu kubwa la kutikisa ngome ya upinzani na Suarez alikua anacheza kama mshambuliaji wa mwisho. Baada ya kuondka Neymar Messi amejikuta akiwa na mzigo mzito na siku Ikitokea amezidiwa mambo yanaharibka. Ujio wa griezmann hautakua na athar maana si mtu wa kushika mpira na kupangua ngome badala yake yeye anasubir aletewe kama ilivyo kwa Suarez. Kwa sasa hivi ukimpanga Suarez na griezmann kwa wakati mmoja unakua na washambuliaji wawili wanaoitaji kuletewa mpira wakati huna viungo wa uhakika. Akija Neymar itabidi timu irudi kwenye MSN ambapo umuhimu wa griezmann hautainekana tena. Bado najaribu kufikiria nani aliyeshauri kununuliwa kwa griezmann wakati haendani na mfumo wa timu.



Wakina iniesta na xavi waliondoka na wakamuacha Messi bila uwepo wa Neima na haikuwa shida...shida ipo kwa makocha...Griezman ni mchezaji mzuri na mwenye mafanikio makubwa katika timu ya taifa na club yake ya zamani, kuliko neima....huko ligue 1 hata asipocheza ushinndi uko pale pale, wako akina mbappe, de maria, cavan na lcardi wanatosha..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom