FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Aya sasa Uyu griezman mlio kua.. mna subri acheze na King LEO mna muona sasa .

ata neymar ange kuepo tatzo bado tuna kocha Toy sijui wali mtolea wapi
Mkuu Griezmann usimlaumu bado hajachanganya.kumbuka Dembele alianza km Griezmann kuvurunda hv hv ila msimu ulokuja akawa sawa.
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😀😀😀😀😀😀😀😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😅😅😅😅😅😳😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😊😊😊😊😊😊😊😊😊😜😜😜😜😜😜😜😜😜😁😁😂😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
 
Katika usajir wa hovyo ni huo. Griezmann anasubur kuletewa mpira na kwa mfumo wa barca ni mda mrefu tokea iwe na mchezaji wa hivo. Upande wowote anaokaa unapooza. First half alikua upnde wa kushoto tumeona ulivyopooza, kipindi cha pili tumeona upande wa kulia ulivyopooza kwa ufupi hana ule ushambuliaji wa kushika mpira akakimbizana na beki.
Msimlaumu Griezmann wa watu.
Team nzima inacheza in poor strategies.
Team nzima inacheza hovyo,tatzo ni kocha hana tactics ridhishi na stahiki.
 
Uongozi wanashindwa kutengeneza timu ? Palikua na kila sababu ya management kufanya manunuzi ya zaidi ya wachezaji 6 kutoka ktk kile kikosi cha Ajax. Beki watatu na viungo watatu na striker mmoja at least, Tungewauza Suarez,Pique,Sergio,Alba...Courtinho angesalia....then ndio juhudi za kumrudisha Neymar zingeanza.
 
Uongozi wanashindwa kutengeneza timu ? Palikua na kila sababu ya management kufanya manunuzi ya zaidi ya wachezaji 6 kutoka ktk kile kikosi cha Ajax. Beki watatu na viungo watatu na striker mmoja at least, Tungewauza Suarez,Pique,Sergio,Alba...Courtinho angesalia....then ndio juhudi za kumrudisha Neymar zingeanza.
Naunga mkono hoja, De Jong nimemtazama first half akicheza nafasi ya Busquets, huyu hapozi mpira pale kati, anazunguka haswa.

Nashauri apewe namba ya kudumu. Barca wachezaji wengi wanapaswa kuuzwa.
 
Ligi bado ipo mwanzoni wakuu. Nakubaliana na michango ya waliowengi hapa. Club za barca na real madrid zimeonekana kuwa katika kiwango kibovu na kisichoridhisha tangu msimu uliopita. Nadhani klabu hizi mbili zinaishi kipindi cha matokeo yaan walishindwa kuwekeza katika soka na kuwekeza katika biashara. Namaanisha klabu zote hizi na zilijikita katika upanuzi wa viwanja vyao na kandarasi nyingine zenye kuingizia klabu mipunga na kusahau kukuza vipaji, kufanya scouting na kunununua wachezaji wapya wenye uwezo kulingana na mategemeo ya wanachama.
Naamini hizi klabu zitainuka tena na kurudi katika utawala wao kama ilivyozoeleka.
Tusiwalaumu makocha wala wachezaji wa klabu hizi. Manegement zao zimebweteka na zililewa mafanikio waliyoyapata kwa muda murefu.
Kujifunza hili tizama anguko la man united. Tujifunze pia kwa kuinuka kwa liverpool na man city.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom