Namjua Neymar vema bro.nenda kaangalie YouTube kazi za itakuwa haumjui vizuri
Kwa ubishoo dogo anaongoza... hata hivyo yuko karibu kwenda kwa 50 cent U.S.ANamjua Neymar vema bro.
Lakini ubishoo umemuharibu sana na mpira wa show off umemuharibu yule jamaa.
Anajua ila anacheza sana mpira wa kitoto unamuharibia CV.
Duuuh kaz kweli kweli.Kwa ubishoo dogo anaongoza... hata hivyo yuko karibu kwenda kwa 50 cent U.S.A
hata na semedo aende tuHapo vipi wadau...naona ney huyu hapa kabisa...rakitic yuleeeee psg....dembele loanedView attachment 1192112
Jitahidi uwe serious.hata na semedo aende tu
Tatizo la Barca,ni opposition wakicheza high pressing game-Dembele is good in a counter attacking team lakini in a possession based team kama Barca anapoteza mipira mingi-with Neymar opposition ikicheza high pressing imekula kwao cause mpira ukimfikia katika flanks with his close control ni havoc-Hata if the likes of Messi are shut out of the game Neymar can open the keys which kwa Dembele naona ni third season but no development. Dembele aliletwa Barca ili jina lake liwe la pili katika team sheet baada ya Messi-but it seems haitatokea- nadhani at PSG he will flourishNamjua Neymar vema bro.
Lakini ubishoo umemuharibu sana na mpira wa show off umemuharibu yule jamaa.
Anajua ila anacheza sana mpira wa kitoto unamuharibia CV.
labda wamchukue Velverde-Semedo will remain but anahitaji kutoa assists nyingi like how modern fullbacks dohata na semedo aende tu
hata na semedo aende tu
Umemjibu vyema. Barca inamuhitaji Neymar, Neymar goli analijua, Neymar anaweza kucheza na Messi. Nitafurahi kama mbele kukawa na watu watatu, Neymar Messi na Griezmann.Tatizo la Barca,ni opposition wakicheza high pressing game-Dembele is good in a counter attacking team lakini in a possession based team kama Barca anapoteza mipira mingi-with Neymar opposition ikicheza high pressing imekula kwao cause mpira ukimfikia katika flanks with his close control ni havoc-Hata if the likes of Messi are shut out of the game Neymar can open the keys which kwa Dembele naona ni third season but no development. Dembele aliletwa Barca ili jina lake liwe la pili katika team sheet baada ya Messi-but it seems haitatokea- nadhani at PSG he will flourish
Mkuu kuwa serious basi hata sekunde tuhata na semedo aende tu
nipo serious mkuuMkuu kuwa serious basi hata sekunde tu
Ngoja tusikie wanasema hii inaweza kuwashawishi psg wakakubali lakini hofu ni kwa dembele atakubali kuondoka ? Maana yeye na mshenga wake wanaonekana kutokutaka kuondoka barcaHapo vipi wadau...naona ney huyu hapa kabisa...rakitic yuleeeee psg....dembele loanedView attachment 1192112
hata kuwafukuza tutawafukuzaNgoja tusikie wanasema hii inaweza kuwashawishi psg wakakubali lakini hofu ni kwa dembele atakubali kuondoka ? Maana yeye na mshenga wake wanaonekana kutokutaka kuondoka barca
watoe tu hata ikibidi wamtoe msukule abidaliDah PSG wamechomoa offer yetu ya mwisho ya wachezaji wawili na pesa na papo hapo Dembele amesema hataki kabisa kuondoka barca na hataki kabisa yeye kutolewa kafara kwa ujio wa Neymar
Sasa yasemekana Barcelona wana Option moja tu iliyobaki nayo ni kutoa pesa taslimuu Euro 170 milioni ili kumpata NeymarView attachment 1192777
Kwa hiyo hawa PSG,wanategemea kabisa kumchezesha Neymar katika timu yao-hili saga litawatokea puani PSGDah PSG wamechomoa offer yetu ya mwisho ya wachezaji wawili na pesa na papo hapo Dembele amesema hataki kabisa kuondoka barca na hataki kabisa yeye kutolewa kafara kwa ujio wa Neymar
Sasa yasemekana Barcelona wana Option moja tu iliyobaki nayo ni kutoa pesa taslimuu Euro 170 milioni ili kumpata NeymarView attachment 1192777