FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Hakupata injury bro maana toka apewe red card copa America hakucheza tena bali amewapa conditions barca wamlete Neymar yeye ndio aingie uwanjan
Na atasubiri sana PSG hatuna mpango wa kumuachia Neymah na akileta dharau anakula benchi mpaka mkataba uishe kama Rabiot ,Pesa ya Mafuta haiwezi kusumbuliwa na mbazili mmoja
 
Big hug from the King
Screenshot_20190826-090614.jpeg
 
Na atasubiri sana PSG hatuna mpango wa kumuachia Neymah na akileta dharau anakula benchi mpaka mkataba uishe kama Rabiot ,Pesa ya Mafuta haiwezi kusumbuliwa na mbazili mmoja
Ameumia bana ana CALF INJURY bado hajapona vzury.NILIKUA NAZINGUA WASHKAJI TU.
Ishu ya Neymar itakamilika tu tuombe Mungu.
 
Matokeo ya jana yameleta faraja kubwa kwetu na huenda msimu huu tukafanya makubwa chama litakapotimia
 
Wakuu ile winger ya kulia ya jana inaitwa perez ni ya moto balaa, yule dogo akakaa na Neymar hii timu itakuwa ni hatari.

Dembele mbele ya huyu dogo mimi karata yangu naitupa hapa, dogo akipewa nafasi ni moto. Tukiwa na Neymar hakika bila Messi timu inabeba UEFA.
 
Mkuu kwann umeamua kutulisha matango mwitu kias hiki aisee
Yan kwa ulimwengu huu bado umetufanya sisi sote uongo njop tamu kolea
Dah
Hahahahahahah SAMAHANINI KAKA ZANGU NILIKUWA NAZINGUA WATU KWA FURAHA YA JANA BARCA KUSHINDA.
 
Wakuu ile winger ya kulia ya jana inaitwa perez ni ya moto balaa, yule dogo akakaa na Neymar hii timu itakuwa ni hatari.

Dembele mbele ya huyu dogo mimi karata yangu naitupa hapa, dogo akipewa nafasi ni moto. Tukiwa na Neymar hakika bila Messi timu inabeba UEFA.
Carles Perez atakapoungana na King messi na Neymar + Griesman itakua motooo ...kumbe chipukizi tunao Lamasia tuna ng'an'g'ana na wazee akina Suarez na Pique ifikie wakati barca mizigo iondolewe hata kama ni kwa mkopo
 
Naona issue ya Neymar kutua Barça ni ngumu ukizingatia Mbappe kaumia, Cavani kaumia lakini kubwa kuliko raisi wao kasema Asiuzwe
Bro ngojea tusubiri ila navyojua Neymar ana jeuri kumbafu yule atawaletea ukumbafu mpk watamtoa tu.
 
Ilikuwa ngumu kukosekana dembele kwenye dili.. Ilasasa lipo uchi.. Dembele aende labda atadevelop kwa yule kocha...

Kule kuficha injury imeleta picha mbaya sana..
No professionalism kwa huyu dogo, alilewa sifa
Naona issue ya Neymar kutua Barça ni ngumu ukizingatia Mbappe kaumia, Cavani kaumia lakini kubwa kuliko raisi wao kasema Asiuzwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom