3llyEmma
JF-Expert Member
- Oct 23, 2017
- 6,172
- 6,885
Alibeba best player Epl + Best defender Epl + Best Europe playerMmmmh bro hapana VVD alikua beki bora sio machezaji bora EPL.
VVD ni mchezaji bora Uefa sio EPL sidhan km EPL alipew tuzo hyo.
Alibeba best player Epl + Best defender Epl + Best Europe playerMmmmh bro hapana VVD alikua beki bora sio machezaji bora EPL.
VVD ni mchezaji bora Uefa sio EPL sidhan km EPL alipew tuzo hyo.
Alipewa utakuwa umesahauMmmmh bro hapana VVD alikua beki bora sio machezaji bora EPL.
VVD ni mchezaji bora Uefa sio EPL sidhan km EPL alipew tuzo hyo.
Ahaaa sikujua kuhusu kuwa best player EPL.Alibeba best player Epl + Best defender Epl + Best Europe player
Mmmmh bro hapana VVD alikua beki bora sio machezaji bora EPL.
VVD ni mchezaji bora Uefa sio EPL sidhan km EPL alipew tuzo hyo.
Barcelona ya kwenu ?Barca washa cancel hiyo kitu
psg wanataka 130m euro + rakitic + osmane debele + tolibo sasa huu nitawaona barca wajinga sana wachezaji 3 na hio hela kwa neyma mmoja yanini kun'gan'gania wakati grizou na king messi wapo rafihna pia yuko poa
utakuwa usengee sanapsg wanataka 130m euro + rakitic + osmane debele + tolibo sasa huu nitawaona barca wajinga sana wachezaji 3 na hio hela kwa neyma mmoja yanini kun'gan'gania wakati grizou na king messi wapo rafihna pia yuko poa
Aaah mbona mapema hiviiii??!!!!Osasuna vs Barcelona kick off saa 12.jioni.
Leo jumanosi

Greizman tunamtazama tena leo-kama atakuwa worth the entrance money.
PSG siwaelewi kabisa inawezekana vipi umngaganie high profile player bila kuleta unrest katika dressing room.Wanataka kutukaba in broad daylight yaani 3 players na hela juu.Bila Champions league tungewaachia awasumbue kwa dressing room