nandengele
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 689
- 807
Mauro Icardi vipi naona angefitinilitegemea tusajiri no.9 ya kumsaidia Suarez na beki 3 ya kumsaidia Alba
Mauro Icardi vipi naona angefitinilitegemea tusajiri no.9 ya kumsaidia Suarez na beki 3 ya kumsaidia Alba
nilitegemea tusajiri no.9 ya kumsaidia Suarez na beki 3 ya kumsaidia Alba
Jana nimeona taarifa kadoji hajaenda ku train na wenzakeMauro Icardi vipi naona angefiti
Hiiiii nimeipendaJana nimeona taarifa kadoji hajaenda ku train na wenzake View attachment 1153100View attachment 1153101
Cr7 ni King of Football ila Messi ni God of Football.Wee nae hata huelewi point uliyoquote.
Mwishowe uje useme ligi ya ulaya ni mbovu kuliko ya america kisa ronaldo alikwama kwa uruguay
Cr7 ni King of Football ila Messi ni God of Football.
Period.!
Kuisaidia kiaje?God wa football anashindwa kuisaidia timu yake ya taifa. Acha kumdharau Mungu kiasi hicho
huyo jamaa simpendi kabsa tangu apore mke wa mshkaji wake simkuvali kabsaMauro Icardi vipi naona angefiti
Semedo yuko poa timu yetu ina tabia Ya kuwaondoa wachezaji wazuri na kuacha magalasa sijui kwanini..unafikiriaje kuwaacha watu kama semedo, dembele..
Unamwacha Pique ila na kaubaguzi ka rangi kapo kapo pale
Hakuna ubaguzi Barca ukiona mtu anasugua jua hajui ngoziSemedo yuko poa timu yetu ina tabia Ya kuwaondoa wachezaji wazuri na kuacha magalasa sijui kwanini..unafikiriaje kuwaacha watu kama semedo, dembele..
Unamwacha Pique ila na kaubaguzi ka rangi kapo kapo pale
hapo kwa de jong weka ractik na hapo kwa Dembele weka continho,,,ukuta uko nyuma ndo janga la taifaMy starting XI this season
Griezmann - Messi - Dembele
Arthur - Busquets - Frenkie
Alba - Umtiti - Pique - Semedo
Stegen
Unaionaje?
Unampendea nini dembele?My starting XI this season
Griezmann - Messi - Dembele
Arthur - Busquets - Frenkie
Alba - Umtiti - Pique - Semedo
Stegen
Unaionaje?
Piga ua garagaza dejong anajua kiliko rakitic atakae pumzika kikosini labda Arthurhapo kwa de jong weka ractik na hapo kwa Dembele weka continho,,,ukuta uko nyuma ndo janga la taifa
hapo kwa de jong weka ractik na hapo kwa Dembele weka continho,,,ukuta uko nyuma ndo janga la taifa
Unampendea nini dembele?
Unafikiri ni akili kuanzisha wachezea kushoto wote?
hapo kwa de jong weka ractik na hapo kwa Dembele weka continho,,,ukuta uko nyuma ndo janga la taifa
jordi alba na bousquetUkimwondoa pique unabaki na wazawa wangapi kwenye Timu?
Mimi hakuna mkuu dembele haimprove ni wakukaa benchi mpka ajuteBwana mkuyenge, uzuri wa Dembele ni pace na uwezo wa kukata defense anafosiwa kucheza kushoto..