FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Sasa Ronaldo amebebwa na timu ya taifa.sababu Portugal national team ni timu ya taifa la ulaya tofauti na Messi ambae timu yake ni timu ya Developing country unlike CR7 whose national team is of developed country

Licha ya kuwa team yake ni ya nchi inayoendelea bado Messi amepata mafanikio ya kucheza fainali ya Kombe la Dunia
Kaka dunia hii ya sasa kipaji hakina maana kama hakikupi mafanikio ya nje na ndani ya eneo husika
Mm kwa maoni yangu huwezi linganisha timu za ulaya na za America....that's why Ronaldo alioneana na Spain world cup but akakwama kwa Uruguay....
 
Mm kwa maoni yangu huwezi linganisha timu za ulaya na za America....that's why Ronaldo alioneana na Spain world cup but akakwama kwa Uruguay....


Europe ndio bara ambalo limewekeza sana kwenye Soccer Academies kuliko bara lolote. Yaani wewe kama upo Ulaya halafu una kipaji na haujaonekana basi wewe mzembe NB kama sio zuzu

Amerika kusini na Africa Magharibi mpira unawapenda na wamejaaliwa vipaji
 
Kwa point yako hapa ni

Ronaldo kabebwa na timu

Ila Messi ndo anaibeba timu ndo maana akafika fainali ya kombe la dunia

Hivi ni visingizio tu.
Sasa Ronaldo amebebwa na timu ya taifa.sababu Portugal national team ni timu ya taifa la ulaya tofauti na Messi ambae timu yake ni timu ya Developing country unlike CR7 whose national team is of developed country

Licha ya kuwa team yake ni ya nchi inayoendelea bado Messi amepata mafanikio ya kucheza fainali ya Kombe la Dunia
The problem is not Messi or the players. Arg main problem is their FA and the coaches they appoint. Since Sabella there has not been a proper or stable coach in their National team and average Job time is between 6-12 months which is not healthy. Instead of keep changing coaches they should have kept Sabella and built the team from there and I m sure if he was given the time required Messi already had won atleast one cup with Argentine. Instead they kept changing coaches till they reached world class Mr Scaloni who changes Aguero while his team is losing 1-0 and inserts Mr Suarez who I am sure even the Argentines dont know him properly and keep Dybala and Lauturo Martinez bench???!
 
Wee nae hata huelewi point uliyoquote.

Mwishowe uje useme ligi ya ulaya ni mbovu kuliko ya america kisa ronaldo alikwama kwa uruguay
Itakuwaje bora kuliko ya ulaya mkuu sababu wachezaji wazur wote wanaenda ulaya....pointi yangu hapo ni kuwa Amerika ya Kusini timu zao za taifa ni ngumu zaidi ukifananisha na ulaya...
 
Acha mchezo na Uruguay ,Argentina hajamfunga Uruguay miaka kibao atachezea droo au kipigo , hiyo ndio team bora kwa sasa America ,portugal kufungwa ni sawa
Mm kwa maoni yangu huwezi linganisha timu za ulaya na za America....that's why Ronaldo alioneana na Spain world cup but akakwama kwa Uruguay....
 
Kwa point yako hapa ni

Ronaldo kabebwa na timu

Ila Messi ndo anaibeba timu ndo maana akafika fainali ya kombe la dunia

Hivi ni visingizio tu.

The problem is not Messi or the players. Arg main problem is their FA and the coaches they appoint. Since Sabella there has not been a proper or stable coach in their National team and average Job time is between 6-12 months which is not healthy. Instead of keep changing coaches they should have kept Sabella and built the team from there and I m sure if he was given the time required Messi already had won atleast one cup with Argentine. Instead they kept changing coaches till they reached world class Mr Scaloni who changes Aguero while his team is losing 1-0 and inserts Mr Suarez who I am sure even the Argentines dont know him properly and keep Dybala and Lauturo Martinez bench???!


Ndio maana nikakwambia licha ya kuchezea timu ya dunia ya tatu ila amefika fainali


CR7 nchi yake ni ya Ulaya, ambako nchi zote zimewekeza vizuri kwenye soka. Huwezi kuifananisha national team ya Argentina na national team ya Portugal nchi ya Ulaya na tena Ulaya Magharibi
 
Mkuu kamwe huwezi mfananisha Messi na Ronaldo na pia huwez shinda argument kwa hoja dhaifu kama hizo. Uruguay pia ipo ukanda wa developing countries (source ni wewe)ila kisoka inasumbua kuliko portugal

Hio hio dunia unayoiita ya tatu imesumbua sana kwenye fainali za kombe la dunia miaka mingi mfano mzuri Brazil
Ndio maana nikakwambia licha ya kuchezea timu ya dunia ya tatu ila amefika fainali


CR7 nchi yake ni ya Ulaya, ambako nchi zote zimewekeza vizuri kwenye soka. Huwezi kuifananisha national team ya Argentina na national team ya Portugal nchi ya Ulaya na tena Ulaya Magharibi
 
Mkuu kamwe huwezi mfananisha Messi na Ronaldo na pia huwez shinda argument kwa hoja dhaifu kama hizo. Uruguay pia ipo ukanda wa developing countries (source ni wewe)ila kisoka inasumbua kuliko portugal

Hio hio dunia unayoiita ya tatu imesumbua sana kwenye fainali za kombe la dunia miaka mingi mfano mzuri Brazil


Eti argument dhaifu!

Ndio aibu hiyo maana Ulaya hawakutakiwa kuwa wanaface domination ya nchi kama hizo(Brazil , Uruguay etc)
 
Mkuu hio ni soka. Ndo maana na africa huwa tunakutana nao huko mshindanoni kibishi bishi pamoja na umaskini wetu
Eti argument dhaifu!

Ndio aibu hiyo maana Ulaya hawakutakiwa kuwa wanaface domination ya nchi kama hizo(Brazil , Uruguay etc)
 
Si kweli......Uruguay ana miaka kadhaa sasa hajachukua copa america..... Ni mojawapo ya timu bora ila sio bora zaidi
Acha mchezo na Uruguay ,Argentina hajamfunga Uruguay miaka kibao atachezea droo au kipigo , hiyo ndio team bora kwa sasa America ,portugal kufungwa ni sawa
 
Dogo yuko Serengeti kapumzika!
Screenshot_2019-06-17-21-42-57.jpg
 
Utabiri wangu

Neymar atarudi Barcelona ,instincts ambazo ziliniambia kua atahama ni zile zile tena zimenipa ushahidi wa kurudi alikokuita Home

kwenye professional football sio kitu kibaya ingawa ali tarnish loyalty yake but tukumbuke Neymar sio mhitimu wa Lamasia kwa alichokifanya kwake yeye ni sawa tu.

Technically binafsi nafungua njia ujio wake especially left flank wakati tuna attack tangu aondoke bado kuna shida hata baada ya ujio wa Coutinho .Team tunazocheza nazo wakifunga spaces na kufanya compactness upande wa kulia kwa Messi hua inatuletea shida sana na kumlazimu Messi kwenda deep na kupiga penetrating passes ambazo nyingi zinapotea ,hii ni permanent solution

Financially ujio wake utai cost team italazimika iuze big names waliopo sio chini ya wawili and the proposed list ni Dembele,Coutinho,Malcom plus Ivan Rakitic hapa ndipo kilipo kitendawili at the same time transfer ya Griezman inabidi isimamishwe ,

Je inawezekana?Leo katika viunga cha Barcelona nasikia kuna kikao Kati ya Barthemeou na technical department ya Erick Abidal

Lolote linaweza kutokea ikiwa kama tutaweka priority namba moja ni UEFA ,mwenzenu hadi sasa hivi siamini kama tulitolewa kweli
 
Utabiri wangu

Neymar atarudi Barcelona ,instincts ambazo ziliniambia kua atahama ni zile zile tena zimenipa ushahidi wa kurudi alikokuita Home

kwenye professional football sio kitu kibaya ingawa ali tarnish loyalty yake but tukumbuke Neymar sio mhitimu wa Lamasia kwa alichokifanya kwake yeye ni sawa tu.

Technically binafsi nafungua njia ujio wake especially left flank wakati tuna attack tangu aondoke bado kuna shida hata baada ya ujio wa Coutinho .Team tunazocheza nazo wakifunga spaces na kufanya compactness upande wa kulia kwa Messi hua inatuletea shida sana na kumlazimu Messi kwenda deep na kupiga penetrating passes ambazo nyingi zinapotea ,hii ni permanent solution

Financially ujio wake utai cost team italazimika iuze big names waliopo sio chini ya wawili and the proposed list ni Dembele,Coutinho,Malcom plus Ivan Rakitic hapa ndipo kilipo kitendawili at the same time transfer ya Griezman inabidi isimamishwe ,

Je inawezekana?Leo katika viunga cha Barcelona nasikia kuna kikao Kati ya Barthemeou na technical department ya Erick Abidal

Lolote linaweza kutokea ikiwa kama tutaweka priority namba moja ni UEFA ,mwenzenu hadi sasa hivi siamini kama tulitolewa kweli

Pole sana mkuu.
To bring back Neymar is utterly a desperate move
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom