Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,007
- 13,799
Sasa Ronaldo amebebwa na timu ya taifa.sababu Portugal national team ni timu ya taifa la ulaya tofauti na Messi ambae timu yake ni timu ya Developing country unlike CR7 whose national team is of developed country
Licha ya kuwa team yake ni ya nchi inayoendelea bado Messi amepata mafanikio ya kucheza fainali ya Kombe la Dunia
Mm kwa maoni yangu huwezi linganisha timu za ulaya na za America....that's why Ronaldo alioneana na Spain world cup but akakwama kwa Uruguay....Kaka dunia hii ya sasa kipaji hakina maana kama hakikupi mafanikio ya nje na ndani ya eneo husika