FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Hivi hawa troll football ni madrid ama maana huwa nacheka sana ikifika suala la barca.
FB_IMG_15588202420346989.jpeg
 

Attachments

  • FB_IMG_15587220681916149.jpeg
    FB_IMG_15587220681916149.jpeg
    39.7 KB · Views: 32
Hamna kitu kama love for your club ... when it rains,night ,sick ,worse ,hot...natambaaa na Barca ,here we go....for Copa de ley final ...sijalipia siku nyingi startimes king'amuzi nimelazimika Leo.....na ku set antenna
It's world football number 254 we go guys....noise makers the have gone a trophless year

Love for the club no matter what ,tukianguka we rise up ,when the want us to go low we fly higher and higher

IMG_5105.JPG
 
Andunje anaumizwa na matarajio yake kwa timu nzima, matarajio yake ni kuona timu nzima inapigana kama anavyopigana yeye!

Uongozi wa Barcelona umeacha mpira unafanya biashara ya soka sasa!

Kwa miaka 5 ya hivi karibuni bargain business imetawala sana, na imeinufaisha klabu kuliko mataji.

Wanasahau Lama sia graduate ambao wangeifanya barca kubaki kama vile Pep alivyoiacha au alivyotaka.

Pep aliondoka sio kwamba alishindwa ila alishindana tabia na viongozi, Pep alitaka soka lirudi nyumbani, viongozi walitaka biashara ianze.

Tangu barca waingie kwenye business kampuni mbalimbali yameifuata barca kufanya business, mfano mzuri tunaiona Rakuten, wamewekeza Paundi milioni 405 kwa ajili ya upanuzi wa uwanja Camp Nou, kama tunavyouona pale juu wanaongeza viti vingine, ukamilika utakuwa unabeba mashabiki 105000.

Kwa sasa Camp Nou no ni uwanja pekee barani ulaya ambao unatumia wire less network ya 5G. Imezinduliwa siku za nyuma tu hapo.

Ili Barca ilurudi kucheza mpira wake asilia lazima biashara ife kwanza wageukie La masia.

Tazama barca wakati Pep na Tito Vilanova, timu ilikuwa na wachezaji wa thamani ya kawaida tu.

Lakini baada ya Tito na Pep kusepa, biashara ikaanza. Klabu imenunu wachezaji wengi wa gharama lakini taji la Uefa ni moja tu ndani ya miaka 5.

Wachezaji wagharama wa kujivunia ni Suarez na Neymar tu! Waliobaki hakuna kitu!

Dembele tulisema msimu wa kwanza, umeingia wapili hakuna kitu, Coutinho yale yale tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom