Natest mitambo mkuuHahaa...we jamaa unachezea utajiri wa kucheza zecomedy hv hv, kwanini usiende kwa kina Joti? 7bu umenichekesha sana kwa hii sms
Mkuu hii n pombe ya ngomani kila Mtu anajichotea tu
Piqué: "Valverde? We're not worried right now. We need to do a deeper analysis. We already said that we want him to continue with us, but it's a decision that won't effect us." 



sikieni uyu mbwaMm nikipigwa huwa nayasubiriaga aya madogo nacheka sana moyoni japo naumia.Hahaaa...JF aliyeigundua anatupatia burudani sana kwa haya madongo
Hlf surely, anduje ana mkosi sana! Mwak jn kimetolewa, mwak huu kimetolewa tena uc, kimefumuliwa tena leo..kina mkosi....national timu hakina kitu, kufunga nywele tuu
Messi na Ronaldo tayari jua la magharibi.Tatizo Mungu hawezi kukupa kila siku, wakati mwingine wanatakiwa wakae pembeni ss yeye na CR 7 ili tuone wengine watavyopata hizo tuzo, siyo kila siku ugali dagaa hapana wakati mwingine twapaswa kula wali maharagwe au mtori ili papatikane ladha halisi na afya bora
Barça n Kama mwanamke asiye na elimu unadhan nn kitatokea .....lazima sehemu zake za Siri ziumie
Natest mitambo mkuu
Yaleo Kalii
Muoshwa uoshwa
Inabidi uandike kitabu jina ukipe.Chenye mwanzo kina mwisho
Kashajichokea naye anapaswa astaafu tu asije akajifedhehesha km Puyol alivyochanishwa msamba na De MareahPiqué: "Valverde? We're not worried right now. We need to do a deeper analysis. We already said that we want him to continue with us, but it's a decision that won't effect us."
sikieni uyu mbwa
Mm nikipigwa huwa nayasubiriaga aya madogo nacheka sana moyoni japo naumia.
Kweli kabisa Chifu, unapocheka leo lazima utambue mwenzio anahuzunika wakati huo na vise versa is true.Messi na Ronaldo tayari jua la magharibi.
Ndo wanaishia hvyo kwenye utawala wao. Wacha tusubiri damu zingine tena.
Ila hizi timu za spain zimetia huruma sana mwaka huu.
Ngoja zipumzike tu coz UK wamejitahidi an kugharamika ktk usajili wa juu kwa Wachezaji naakocha ili wapate ubora wa ligi yao kwa muda mrefu lkn bahati mbaya hawakuwa na wakati mzuri kimafanikio zaidi ya kusindikiza tu tangu 2012 Chelsea awe BingwaMwakan pia kuna dalili kubwa epl kusumbua ulaya.
Timu nyingi zimejichokea.
Inabidi uandike kitabu jina ukipe.
The fall of great Barcelona!