FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Mpaka hapo mtakubali kua EPL ni ligi bola maana amtakagi kukubalia na hili ,na Leo matoke ya Ajax mmeyaona mnalakusema tena. Uefa final EPL team,Uropa Final EPL team ,Hii Neo lig bola.
 

 
Suarez anahitaji kuondoka na hili nasema siku nyingi. Goli moja tu UCL. mzigo wote wa kufunga ni wa Messi. KOCHA awe wa kwanza kuondoka, halafu nahisi Valverde ni mbaguzi asiyeamini wachezaji weusi.
 
Tumechukua ubingwa mapema wa ligi tukomae na UEFA sasa hahahahahahahahah
 
Kwa kweli huu uzi ufungwe tu ad tuingie fainali msimu ujao wa UEFA. Nimeuacha kuangalia mpira kiukweli
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…