FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Uzuri mpaka wachambuzi wanashangaa kwanini heir wa Iniesta amemuweka nje anaanza na mpuuzi wakati ni game kila mtu anatakiwa kupress high huo ni ufala ngoja tutazame mwalimu yupi wa mfumo wetu anakuja sio huyu mshenzi
 
Mwisho wa barca na madrid tumeuona
Tena msimu huu huu
 
First Leg



Second Leg

Am very angry at Velverde

2 times anafanya same mistake

Bonge la Come back
 
Ha ha haaa,kazi ya Liverpool ni kuwaadabisha wale wote walioshindikana na wengine.wanaojifanya vitimu vya dunia
 

Mkuu punguza hasira
Uwezo wake kwenye tactics ndio uliishia hapo
Kubali yaishe
 
We haumkubali Messi still unakubali ni one man team(tuna depend sana on him)

Mpira hudunda!
Mnaweza kuchukua UCL mwakani na mnaweza msichukue vile vile
It could go either way
Who knows
Mimi sina ushabiki wa kukariri matokeo kabla ya mechi.
Nimejifunza jana yaliyotokea Anfield.
Namkubali Messi lakini yeye sio Mungu wa football
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…